Ina maana Rais alidanganya kwamba sukari ikikamatwa inagawiwa bure? Halafu wakati inakamatwa ishu haikuwa kibali. Ilikamatwa kwa kosa la kufichwa. Mbona wanataka kutufanya sisi wasahaulifu sana?!
Kikao cha wadau kimemalizika na kimekuja na mikakati ya kuongeza traffic pale Bandarini. Mojawapo hatua hizo ni kuondoa makubaliano ya "Single Customs Territory" na DRC na kuondoa VAT kwenye huduma zinazotolewa kwenye mizigo inayoenda nje.
Hapa unapata jibu kwamba kuna matatizo ya kiufundi...
Mbona hata mapato ya Bandarini yamepungua? Kuna vikao vinafanyika kunusuru hali iliyopo. Maana yake hata waliokuwa wanalipia hawapo tena. Au we unatafsirije hali hii?
NI WAKATI WA MABADILIKO, AMUA KWA AJILI YA TAIFA.
Zimebaki takribani wiki mbili kabla ya kwenda kwenye sanduku la kura kuamua mwelekeo wa maisha yetu. Tupo kwenye wakati wa fainali ya maamuzi; wakati wa kuhakiki maamuzi yetu na kuyaweka tayari kwa utekelezaji siku ya uchaguzi.
Kwa kuwa...
Kwa uzushi huu ni dhahiri CHADEMA/UKAWA inazidi kuwapa wakati mgumu waliokataa kutii alama za nyakati zinazotangaza kwa sauti kubwa --ni wakati wa mabadiliko. Wanahangaika sana kutimiza lengo lao la kuchelewesha mabadiliko. Hawatafanikiwa, ni wakati wa mabadiliko.
Vijana wa CHASO wanaendelea na...
Kinachofurahisha ni kwamba angalau wengi wanakiri kwamba mwaka huu UKAWA unashinda, kwamba pona ya CCM ni goli la mkono. Sasa tunasema hivi, hakuna cha goli la mkono. Tutalizuia kwa kung'oa lango la goli. Tutashinda!
Hawezi kuibadilisha system. Uhalisia haumpi nafasi hiyo mkuu. Watanzania tunayo kazi moja tu - kukipiga chini 'kitengo'. Habari ya mjini ni CHADEMA na UKAWA.
Hatutachagua kiongozi kwa sababu ni wa kabila letu au jirani yetu au mtani wetu. Tutachagua kiongozi kwa sababu ya uwezo wake, dhamira na busara. Magufuli ana maamuzi ya kukurupuka; atatuvurugia nchi yetu.
Baada ya Bunge kuvunjwa hakuna chama kitakachokuwa na wabunge. Vyama vyote vitaanza kutafuta wabunge. Tutapata wabunge wengi na tutashinda nafasi ya urais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.