Upo sahihi sana kiongozi na ctually nilifanya hivyo aliniambia kibusara tuu kuwa mchakato wa kumpeleka mtoto wake Germany tuu una include kufungua block account inayo hitaji ku deposit 36M hivyo pesa itakuwa changamoto kwa muda huu na kuwa yeye no government employee kuwa angekuwa ni business...
Ni kwel kaka pengine upo sio rahisi Lakin kama nilivyojieleza hapo sihitaji charity wala bure, bali ni makubaliano ya kibiashara ya pande mbili zote kunufaika na yenye kulindwa kisheria.
Asante sana Dr. Kwel kuna watu wanakatisha tamaa but Mungu ni mwema kuna watu kama wew pia wanao nitia moyo hivyo I still have faith and I won't loose hope, once again Thank you very much Doctor.
Kiongozi awali ya yote naomba nikushukuru kwa vote of confidence na kuniamini. Na ili kuithamini imani yako juu yangu na juu ya ninacho fanya mchakato wote na maelezo yote yale naomba nitakuwa na uweka wazi hapa mbele ya hii jumuhiya ya wanajamii Forum wakiwa mashaihidi.
Kwa Denmark had last...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.