Hawahangaikii kutokwenda ICC; wanalazimisha kufa na wapinzani wao wakui. Uchunguzi hauwahusu wao bali wapinzani ili kuwaadhibu kabla ya kwenda The Hague!
Ushsuri wake lazimu utaiharibu zaidi nchi kwa sababu chini ya uongozi wake ndiyo nchi hii ilianza kuharabikiwa. Alichaguliwa kwa 80% ya kura zilizotokana na uongozi bora wa awamu ya 3. Baada tu ya miaka 5 ya uongozi wake kura zikashuka hadi 60%! Ndiyo kusema ndani ya miaka 5 wananchi waliufahamu...
CCM haiwezi tena kuvurugika kwa sababu kwanza haipo! Taasisi inayoweza kuvurugika ni ile iliyopo na kuenesha kwa katiba yake, kanuni na miongozo halali. Chama cha siasa ni katiba, kanuni, vikao na mikutano yenye tija. Ccm haina vikao wala mikutano yenye mijadala na maamuzi huru. Vikao vya ccm...
Kwa hiyo kazi aliyokuwa akifanya ni kujitengenezea tu mazingira ya kugombea ubunge! Kwa namna ambavyo Chadema inajaribu kujizaa upya, watu aina ya Madeleka hawahitajiki huko. Watu wa aina hiyo ndiyo hao wanaotoka na kuelekea CHAUMMA; watu ambao walikuwa wanatafuta fursa tu. Kwa maoni yangu...
Kwa taarifa yako Mwamposa ni nabii wa serikali ya ccm. Kazi kubwa anayofanya ni ya kupumbaza watu kwa manufaa ya watawala. Isitoshe Mwamposa tunamfuata wenyewe na tunampelekea fedha zetu. Lakini sasa kuna fedha hazijulikani hata zimetoka wapi lakini zinaonekena zikimnunua kila mtu kwenye nchi...
Anasema hivyo kwa sababu anajua hakuna uchunguzi wowote unaoendelea! Mke wa Kaisari hastahili hata kushukiwa kuwa ni msinzi! Kiongozi wa serikali mkubwa kushiriki kuficha jinai ni kosa kubwa sana! Na ikumbukwe kuwa wawili hawa ni ndugu!
Nia ovu ilishadhihirika pale miswada yenyewe ilipoandaliwa na kuwasilishwa. Wakati wa mupokea maoni ya wananchi dhamira hiyo ovu iliendelea kushamiri na kuthibitika. Ni kejeli kubwa kupendekeza tume ya uchaguzi ambayo upatikanaji wake unamhudisha rais na wsteule wake! Haiwezekani kuendelea na...
Umemeliza kila kitu. Watu wenyewe wanaojaribu kujitengenezea personality cult ni weupe kabisa. Matokeo yake wamekabidhi wapambe kuendesha nchi na kuwapigia propaganda za kitoto na kijima!
Mtu anayetaka mapema hii Magufuli aache kusemwa haitakii mema nchi hii. Uharibifu uliofanywa nchi hii na Magufuli kwa kujipendekeza na kujifanya mtetezi wa wanyonge ni mkubwa sana kuliko chochote kizuri alichofanya. Baya kuliko yote ni kuvuruga mifumo yote ya nchi ya kusimamia siasa, uchumi...
Msimamo wa KKKT hauna shida yoyote bali Zitto anasumbuliwa na udini na anaiona serikali iliyoko madarakani ni ya Kiislam. Ameumizwa sana na upinzani dhidi ya mkataba wa bandari na anauona unaongezewa nguvu na madhehebu ya kikristo. Ameumizwa zaidi na waraka wa TEC. Kazi anayofanya sasa ni...
Kitu kimoja muhimu kitakachofanyika nchi hii mara baada ya kupata uongozi wa wenyenchi ni tume ya ukweli na maridhiano. Matokeo ya kazi ya tume hiyo siyo ajabu kupelekea watu kuvuliwa urais mstaafu! [emoji38][emoji23]
Kweli, kama ambavyo wananchi wamelipokea Mkataba wa DP World kwa kushtukiziwa, inaelekea vivyo hivyo vikao mbalimbali vya maamuzi ndani ya serikali na hata ccm havikushirikishwa. Kabla ya vikao vya hivi karibuni vya ccm hakuna kiongozi wa chama alishapata kuzungumzia mkataba wa bandari licha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.