Nyumba za sasa Ulaya vinatengenezwa kwa ngozi mbili yaani ndani kuna matofali ya kawaida inafatiwa na insulation halafu nje yanakuja matofali ya kuchoma. Floor nzima ndio ina kuwa linter ya kuhold nyumba, lakini wewe unakuwa huioni isipokuwa unaona matofali ya kuchoma.
Wachina wana kawaida moja. wapo wajuzi na wapo wabangaizaji. wapo wafanya biashara wenye mtaji mzuri, wengine hawana. wapo waaminifu na wapo wezi. inatakiwa kufanya uchunguzi mkubwa kufanya biashara na mchina. karibu bidhaa zote za ulaya zinatengenezwa china. simu .nguo, viatu n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.