mtaungana kama mnasikilizana cha ajabu hapa nawashangaa wa chama flani wakitoa maoni wanaonekana wanaipinga serkali. mawazo yao yaheshimiwe, lisu ni msaada mkubwa sana wa sheria tulikubali na tukubali kuyatumia mawazo yake
lisu ndiye mzalendo bila yeye uovu mwingine tusingekuwa tunaujua hivi mwizi na anayetuonyesha mwizi yupi mzalendo. endelea lissu wenye akili wametambua
Nakushangaa sana bwana mpendezoe kwani Lissu alikataa ununuzi wa ndege je? kuhusu ndege yeye ametoa taarifa kwamba imekamatwa kwa ajili ya deni mtwambie kama yeye kaizuia. hebu tuache kuingiza suala la siasa kwenye mambo ya ukweli wote sie ni wana ccm lakini tusiwe mbumbu penye uwazi. kuna...
Huyo mzee nae si alikuwemo kwenye sheria zilizotufikisha hapa, mbona amekiri sheria zetu mbovu namkubali jpm yeye afuate ushauri wa lisu kufumua sheria zote za madini. kama alivyosema lisu.
Wabunge wetu wa Tanzania ni wa ajabu sana kwani kupitisha sheria wengi wao walikuwemo leo raisi ameshitukia hiyo ishu wanajifanya wanatetea rasilimali zetu wakati haohao hasa wabunge wa ccm walikuwa wakishauriwa wanaona wenzao wajinga wao ndiyo wawe wkanza kunyongwa
Alikuwa wapi cku zote kukerwa kuibiwa mchanga au ndiyo bendera fuata upepo. haohao ndiyo walipitisha bajeti/mikataba ya kuibiwa leo unamsifia kwa lipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.