Nimejaribu kulima matikiti maji msimu wa masika lakini sikupata vile nilivyotarajia kutokana na mvua kuwa nyingi sana japo pia sikupata hasara kwa gharama nilizotumia. nilitumia Hyríd Sugar Queen F1 kama mbegu lakini changamoto ilikuwa ni size ya matunda kutoridhisha.
Ktk comments za wateja...
Natafuta connection ya wapi ntapata mbegu nzuri ya viazi mviringo mkoa wa mbeya, na gharama yake bila kusahau kadirio la kiasi cha mbegu za kuenea eneo la ekari 1. Wasalaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.