Nakushukuru nitalifanyia kazi maana hata izo vurugu wanazifanya na mwenyekiti wa mtaa apo ndio umenipa wazo jipya ni kuwawajibisha kwakweli wako mbele kudai pesa lakini wanavurugu hatar
Kwani vingunguti iko mbali na kariakoo na posta mzee kwa miguu tu nafika posta je kwa ukaribu huu naweza kusema ni sawa na umbali wa gongolamboto ? Au mbezi? Ebu turudi kwenye mada ya msingi ya sungu sungu nitashukuru kwa mawazo yako kuhusu topic ya sungu sungu
Niko Daresalam Tanzania vingunguti katikati kabisa ya jiji la Daresalam jana wamekuja usiku saa 8 usiku uku wakiparza mapanga ukutani na kugonga kwa fujo dirishani mwangu uku wakipiga kelele amken amken kunaibiwa uku nyumba nzima tukatoka tukajua kunamwizi kakamatwa kumbe ni mwenyekiti...
Naomba kufaham mambo kadhaa kuhusu ulinzi shirikishi wanaosimama kama walinzi wa msaada jamii
1) Hawa walinzi shirikishi wanareport kwa nani je? Kwenye jeshi la polisi ngazi ya kituo cha polisi au Ofisi yq uhamiaji ?
2)Uhalali wa utendaji kazi wao na jinsi wanavyopatikana hadi kuingia kufanya...
jeshi la akiba
jeshi la polisi
jeshi la polisi tanzania
jeshi la uhamiaji
serikali mtandao
serikali na wananchi
sheria inasemaje
sheria na jamii
ulinzi
ulinzi shirikishi
Haina tabu kabisa kila mtazamo wa mtu ni sahihi kwake vile aonavyo maana mtimilizaji ni yeye mwenyewe na anayeyaishi ayo maisha no yeye mwenyewe so nisawa kabisa kiongozi
Ujana : nihatua ya ukuaji anayoipitia mtu baada ya kumaliza hatua ya utoto ili kuelekea utuuzima na uzeeni na hii hatua hutakiwa kuwa Makini na mtulivu wa fikra pamoja na akili nyingi kuliko hatua nyingine yoyote, na hii ndio hatua pekee ya utambulisho halisi wa mtu kifikra, kiutendaji na hata...
Nikweli nipo Dunia tofauti Sana Tena kwa asilimia 100 mzee kwa sababu zifuatazo
1) kimtazamo wa kutegemeana Mimi naamini maisha ya yakwangu Mimi Kama mwanaume lazima niyapange na kuyasimamia yatimie kwa nguvu zangu zote ikiwemo kuhakikisha familia yangu inapata mahitaji yake yote na kufanya...
Unaweza kumfikiria kuhusu pesa zinaweza kukupa furaha lakini pesa siokitu katika kuitafuta furaha ya mtu kikubwa ni kuridhika na uhalisia uliopo na endapo ikatokea umezeeka Basi jitahidi utilize presha za kuwaza umezeeka Hali hauna pesa waza ni kwa namna gani utamalizia maisha yako ya uzee...
Mwandishi umejitahidi kutoa mawazo yako katika swala litakalokufanya na wewe unikumbuke text yako ulioichapisha kipindi hicho kikifika
Kuhusu "kujipanga kutengwa na familia yako" hili ni Jambo la kifikra zaidi na Uhuru wa akili Sana Sana maana kila kiumbe kinatengwa au kujitenga chenyewe...
Daah hongera Sana kwa mtazamo wako Mpana ila naomba tu nikufungulie ukurasa mpya huenda utakupa kuelewa siasa inanguvu kiasigani katika Dunia na maisha ya mwanadam
Jambo la katiba mpya nizuri na nilamsingi ili kutoa muelekeo mpya kwa Taifa jinsi litakavyojiendesha kuendana na mabadiliko ya...
Umechambua kwelikweli ndugu ... Ila ukweli utabaki pale pale kila kiongozi atakaye pata nafasi ya kuongoza Taifa kwa ngazi ya Rais
Mimi na wananchi jukumu letu kubwa ni kuniombea na kuwaelimisha wananchi wenzetu dhana kamili ya uongozi na wajibu wa serikali kwa wananchi wake pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.