Recent content by samwel Mkangara

  1. S

    Ni kweli kuhusu Rais Magufuli?

    Mmmmmmmh humu ndani tatizo Kila mtu anajua hv matusi ya nn mtu anapotoa hoja si tuipinge kwa hoja pia.,,"!nimegundua watu wote wanaotukana na kupinga kila hoja inayotolewa hawaishi hapa nchi wengi wao ndiyo washambuliaji wakubwa,na ndiyo walikuwa wapiga deal ndo maana kila jambo wanapinga tu.mtt...
  2. S

    Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond

    mmmmmmmmh binadamu bhana tuna mambo daaaaaah tututawakataa na wazazi wetu pia tunakoelekea ama kumwamuru mmoja hasitoe huduma kwakuwa kamtaja mtu fulani .
  3. S

    CHADEMA ni vigeugeu leo hii spika kawa mbaya?

    Tz tulizoea ya ajabu ajabu hapo nyuma na tukaishi hivyo kwa muda mrefu sasa muda umefika tunaona tunaonewa,na kukimbilia kwa wananchi kushitaki kwa maneno ya hapa na pale ili tuungwe mkono ebu turudi nyuma tujipange upya tufanye siasa .ni mawazo yangu tu
  4. S

    CHADEMA ni vigeugeu leo hii spika kawa mbaya?

    Kama hata humu ndani watu hatuoni kutoa matusi si shida tunategemea nn?
  5. S

    CHADEMA ni vigeugeu leo hii spika kawa mbaya?

    Ninachoshangaa ni pale walipokuwa wanasema Bunge ni muhimili unaojitegemea lakini wanautukana tena sasa sisi wananchi tutafanyaje tena mbele ya wanafunzi matusi yanatoka .Ebu wanasheria tusaidieni ukitukana hadharani sheria inasemaje//?
  6. S

    CHADEMA ni vigeugeu leo hii spika kawa mbaya?

    Kwa kweli matusi si tabia nzuri ata Kama umekosewa hasa kwa mzima aliyekuzidi umri na ni kiongozi wako ,hiki ni kipimo pia cha kujua tuna viongozi wa aina hapo baadae,Tukumbuke jambo moja mtoto anayelelewa na mama wa kambo hata umjali vp Siku zote anaona anaonewa tu.Ni mawazo yangu nionavyo mm.
Back
Top Bottom