Mhh mi naona hata kukomoana nako ni kwingi maana kutojua kuandika CV kunategemea yaweza kuwa kafundishwa hivi we unataka aandike kama unavojua, pia wasaili wengi wanatumia uhaba wa ajira kama fimbo ya kuwachapia watafuta kazi na kuonekana kama ni watu wasiojielewa, mi nilienda ofisi fulani HR...
Nimehitimu shahada ya ualimu Bachelor of education in ECE, naweza kufundisha kuanzia Nursery, primary, O&A level popote. Hivyo naomba kwa aliye na taarifa za kuhitajika tusaidiane. Pia kazi yoyote halali naweza kufanya naomba tushikane mkono ili kufanikisha malengo sisi kaka watoto wa baba...
Yaani inasikitisha sana kuomba kusoma kozi huijui maana yake unaenda kwa kupelekwa na mtandao, kwa ufupi kasome hizo historia ndo utaelewa soko lake lipoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.