Binafsi nafuatilia sana mambo ya wapinzani. Ila naona wameisha poteza dira kabisa. Hawazungumzii maslahi ya nchi kwa sasa, Hawazungumzii uchumi wa nchi, Hawazungumzii matatizo yanayokabili jamii yani wapo wapo tu.
Haya wamesusia Uchaguzi bila kuwa na strategies, wameua ndoto za vijana...
Ndugu watanzania wenzangu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, awali ya yote namshukuru sana Mungu mwingi wa rehema na huruma kwetu sisi viumbe wake. Pia niwashukuru sana watanzania kwa heshima kubwa mliyonipatia mimi na Familia yangu, heshima ya kuwa Kiongozi wa hili Taifa ambalo Mungu...
Nijuavyo mimi serikali ina viongozi mbalimbali wakiwemo wenye elimu kubwa na ndogo. Mfano kuna wakuu wa mikoa, wabunge, wenyeviti wa kamati, wakuu wa wilaya wenye elimu ya chini lakini ndio washauri wakuu wanaomsaidia Mheshimiwa Rais kuiongoza nchi. Je nao hawana akili ya kumshauri Rais kutokana...
Nadhani tusichafue CV za watu kwa personal Interest zetu mihemko na hisia . Umemsikiliza wapi na umepima kwa kutumia nini ukajua amelewa? Tupe hiyo Link na evidance ya unachokisema. Otherwise tunaamua kukupuuza tu. Tabutupu,
Hatumbebeshi mzigo kama kiongozi aliyebeba maono ya Taifa na kiongozi mkuu akiona mambo hayaendi sawa ni wajibu kuyasimamia na kuyaweka sawa. Au unashauri ayasimamie nani?
Mh Rais najua kupitia wasaidizi wako ujumbe wangu utaupata, ningekuwa na nafasi ningekushauri moja kwa moja. Nakuomba kama mzazi wangu, Rais wangu unisikilize tafadhali.
Duniani kote Nchi huchafuka kwa mambo mkuu 4. Ukabila, Udini, Ubaguzi wa Rangi na Machafuko ya kisiasa. Kwa miaka mingi Nchi...
Tusifurahie sana Vyama vya upinzani kujiengua kwenye Uchaguzi. Hii ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Narudia tena ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Narudia tena ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Wazee wenye Busara lisaidieni Taifa.
Ndugu zangu, watanzania wenzangu, waleta maendeleo wenzangu, wapambanaji wenzangu. Bwana Yesu asifiwe, Aswala mwaleku, tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu asifiwe. Ni matumaini yangu mnaendeleaje vyema, ila Kwa wagonjwa Mungu awaponye.
Leo nawakumbusha jambo moja tu. Tuiombee sana Nchi yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.