Watanganyika mlioko CCM wote mnatumia makalio kufikiria.Hivi kweli hata kama wewe na familia yako mnafaidika na fedha za damu huwezi kufikiri juu ya Maisha ya jayo ?Kwanini ZANZIBAR imeendelea zaidi kuliko TANGANYIKA?
MUNGU anaona ulicho maanisha .Ukweli wewe unafurahia watu kuteswa,kuuawa, kutekwa na kupewa kesi za UHAINI.Wakati huo huo hunakubaliana na watawala kuendelea kugandamiza haki za wananchi wake ambayo ndo chanzo cha amani kupotea na vurugu zote. Simama katikati kama hakimu asiye na upande tetea...
GOOD FOR YOU SIR!
Mkiwa mnafanya hayo kumbukeni basi wote tu MAVUMBI na Mavumbini tutarudi.Usiue kwa upanga kisa fedha na madaraka mkuu.Nakuomba usinyanye mtu uhai kwasababu ya madaraka hujui lini na kwa namna gani na wewe utaondoka.Ukumbuke mkuu hakuna nayejua adhabu ya kaburi baada ya...
NATAMBUA BILA KIFICHO WEWE NI MIONGONI MWA TIMU YA SAMIA ILIYOTUMWA KUUA WATANGANYIKA.
Nakuhakikishia damu za watanganyika ulizomwaga ziwe juu ya familia yako na ukoo wako wote.
Hizo TSH 25M ulizopewa zikatumike kulipia matibabu kansa (saratani) ya mama yako ,zikatumike kulipa upasuaji mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.