Umeandika upupu!mara wananchi wamechoka, mara hakuna uvumilivu!
Mimi nasema hivi wanaotaka kuandamana ni wale wote waliofaidi keki la taifa hili kwa hila na yamewakuta.
Hawatashinda na ukuta huo wanaodanganyia vijana wanaorubunia.
Kuna udikteta mzuri na wenye tija kama wa Magufuli.
Kuna udikteta mbaya wa kujenga hoja kuharibu udikteta mzuri ili kumchelewesha kiongozi asitimize matakwa ya wananchi ili wapate cha kuzungumza!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.