Recent content by samsonp

  1. samsonp

    JamiiForums Tanzania Kwanini UKAWA itashindwa vibaya?

    I think point kubwa ya kuwaangusha Ukawa ni kushindwa kusimamia kwa vitendo maneno yao.Mfano;Lowassa ni fisadi papa,lakini leo tena kawa msafi..
  2. samsonp

    JamiiForums Tanzania CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Dar es Salaam. Siku moja baada ya CCM kutoa utafiti wake unaoonyesha mgombea wao wa urais, Dk John Magufuli atashinda kwa asilimia 69.3, baadhi ya wasomi wamesema utafiti huo umeibua maswali mengi kwa wananchi. Juzi, chama hicho kilitoa matokeo ya utafiti wake wa ndani uliofanyika katika majimbo...
  3. samsonp

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi vs Uchunguzi

    Dar es Salaam. Siku moja baada ya CCM kutoa utafiti wake unaoonyesha mgombea wao wa urais, Dk John Magufuli atashinda kwa asilimia 69.3, baadhi ya wasomi wamesema utafiti huo umeibua maswali mengi kwa wananchi. Juzi, chama hicho kilitoa matokeo ya utafiti wake wa ndani uliofanyika katika majimbo...
  4. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Uongouongo pelekeni katika familia zenu
  5. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bado siku 38 pekee kujua kwamba hata mungu hapendi uongouongo
  6. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Vyama vingi havijakidhi matakwa ya watanzania bado
  7. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wapi duniani kote ulishawahi kuona mdahalo wa wagombea wanahudhuria wenyeviti wa vyama
  8. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Basi bovu limebeba watu hata hawajui wanaelekea wapi
  9. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mbowe na kundi lake waone hata aibu basi
  10. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kigeugeu namba moja kumshuhudia duniani ni Mh Mbowe
  11. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Muongo muongo ni yule anaenena leo 1,kesho 2,yaani kigeugeu
  12. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Uendawazimu unapokuzidi unakuwa muongo muongo
  13. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ukweli ni kwamba kushindwa kuhutubia kwa kisingizio cha ubovu wa spika ni uendawazimu
  14. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kufahamu ukweli,basi simamia ukweli ili uujue zaidi ukweli
  15. samsonp

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Haya yote JF mmeshindwa kufahamu
Back
Top Bottom