Recent content by samsolo the great

  1. S

    Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

    Kwani kuchunguza bei gani ?Walisema chunguzeni ya Lissu na sanane mkataa simply si wenzenu sasa chunguzeni kifo cha kipenzi cha wanyonge Magu napo hamtaki!
  2. S

    Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

    Hata mimi nimeshangaa.Watu wa Arusha ni tofauti kabisa na wale wa Dar
  3. S

    Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

    Nabii Lema si mtu wa mchezo mchezo.That's the reality .
  4. S

    Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

    Huyo Makonda yupo kwenye system hata angekamatwa Dpp atakataa kuendelea na kesi kama alivyokataa kesi ya Gekul .Lakini huyo Lema kama tuhuma zake zingekuwa genuine angefikishwa kwa majaji ambao ni wateule wa mwenyekiti wa sisiyemu mchana kweupe
  5. S

    Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

    Ko hata mamlaka za nchi zimeruhusu mwizi wa magari aendelee kutamba mitaani na kupata sifa ya kuwa mgombea ubunge wakati chaguzi zinazofanyika?
  6. S

    Zijue baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia zilizotokana na mpango unaosifiwa unaoitwa 4R

    Muda wa kupiga kelele kuhusu ubaya wa sheria hii bado upo .Ila kuwa na wazo la kugomea tu litawafaidisha fisiem zaidi kuliko hao Chadema kwani watapita bila jasho
  7. S

    Lema, usipambane na Makonda, tafadhali soma Marko 12:1-10

    Sidhani .strength ya Lema pale Chadema hasa katika siasa za jino kwa jino katika harakati za kupambana na viongozi maamuma yule mwamba ni level zingine wa kumfikia labda Heche.Yule jamaa ni mtata sana amewahi muogopa mwendazake tu
  8. S

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Hata uwasilishaji wake madai ya wafanyakazi mbele za Rais siku ya mei mosi unaweza shangaa.
  9. S

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Tatizo ni sheria yenyewe inayohusu kikokotoo inawabagua hao wabunge waliohusika kutunga hiyo sheria.Mafao yao nayo yangeguswa na sheria hiyo huo mswada usingepita abadani
  10. S

    Lema, usipambane na Makonda, tafadhali soma Marko 12:1-10

    Lema ni kati ya viongozi wachache wanaojiamini na wenye ushawishi mkubwa pale chuga niliowahi kuwashuhudia.Huyo mkuu wa mkoa akienda pale akiwa na mawazo ya kwenda kumdharau yule kijana atamwangusha aliyemuweka.Wote wawili waheshimiane huyo Rc akiendekeza vijembe na ubabe kwa kutumia rockup za...
  11. S

    Je, tutegemee wapinzani kuibua madudu ya Chama Tawala au tupate Wanahabari wazalendo wenye nguvu za Kisheria kuibuia madudu ya wanasiasa

    Hao majizi wa chadema serikali na vyombo vyake wameshindwa kuwachukulia hatua za kisheria ili wafungwe kwa ubadhirifu wa fedha za umma?
  12. S

    Waafrika tuna matatizo gani?

    Siasa za Afrika ni pasua kichwa kuna mtu anaitwa Yoweri Kaguta Museveni amekuwa rais tangu 1986 lakini bado ukifika muda wa uchaguzi anafanya kila njia ashinde
  13. S

    NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

    Watanzania ndio maana majirani zetu wanatudharau sana.Tumejaliwa kuwa na maujinga sana
  14. S

    Lema ampa makavu Ally Hapi. Amwambia kuwa hii nchi siyo ya mama yake

    Hongera sana nabii Lema kwa kuwakemea viongozi mufilisi
  15. S

    Serikali: Walimu 52,551 kuneemeka na upandishaji madaraja kwa njia ya mserereko

    Serikali iangize maafisa utumishi wa halmashauri zote nchi nzima wabandike orodha ya watumishi waliokidhi vigezo vya kupanda hayo madaraja kwa mwaka wa huu wa fedha 2023/2024 ili hao wa 2014 na 2015 wanaolalamika waone kama chali au wategemee
Back
Top Bottom