Kwani kuchunguza bei gani ?Walisema chunguzeni ya Lissu na sanane mkataa simply si wenzenu sasa chunguzeni kifo cha kipenzi cha wanyonge Magu napo hamtaki!
Huyo Makonda yupo kwenye system hata angekamatwa Dpp atakataa kuendelea na kesi kama alivyokataa kesi ya Gekul .Lakini huyo Lema kama tuhuma zake zingekuwa genuine angefikishwa kwa majaji ambao ni wateule wa mwenyekiti wa sisiyemu mchana kweupe
Muda wa kupiga kelele kuhusu ubaya wa sheria hii bado upo .Ila kuwa na wazo la kugomea tu litawafaidisha fisiem zaidi kuliko hao Chadema kwani watapita bila jasho
Sidhani .strength ya Lema pale Chadema hasa katika siasa za jino kwa jino katika harakati za kupambana na viongozi maamuma yule mwamba ni level zingine wa kumfikia labda Heche.Yule jamaa ni mtata sana amewahi muogopa mwendazake tu
Tatizo ni sheria yenyewe inayohusu kikokotoo inawabagua hao wabunge waliohusika kutunga hiyo sheria.Mafao yao nayo yangeguswa na sheria hiyo huo mswada usingepita abadani
Lema ni kati ya viongozi wachache wanaojiamini na wenye ushawishi mkubwa pale chuga niliowahi kuwashuhudia.Huyo mkuu wa mkoa akienda pale akiwa na mawazo ya kwenda kumdharau yule kijana atamwangusha aliyemuweka.Wote wawili waheshimiane huyo Rc akiendekeza vijembe na ubabe kwa kutumia rockup za...
Siasa za Afrika ni pasua kichwa kuna mtu anaitwa Yoweri Kaguta Museveni amekuwa rais tangu 1986 lakini bado ukifika muda wa uchaguzi anafanya kila njia ashinde
Serikali iangize maafisa utumishi wa halmashauri zote nchi nzima wabandike orodha ya watumishi waliokidhi vigezo vya kupanda hayo madaraja kwa mwaka wa huu wa fedha 2023/2024 ili hao wa 2014 na 2015 wanaolalamika waone kama chali au wategemee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.