Mtu kutaka uwe maarufu lazima ubadilishe jina na lifanane la mtu ambaye ni maarufu?jivunie wewe kama wewe na jikubali na pigania kama wataka uwe maarufu na sio kuwa maarufu pitia jina la mwingine,be proudy of who you are na kumbuka"aliye anza kaanza tu"
January Makamba ndo atakayekuwa kiongozi mwenye kuleta chachu na mabadiliko makubwa kwa Tanzania,tuache upendeleo ila tutende haki Makamba awe rais baada ya JK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.