Kuwa mwanajeshi c sababu kuwa huna haki ya kushirki kama mtu mwingine kawaida lah! Suala tunalotakiwa kuelewa hapa ni wakat gan unatakiwa kushirk kama taratibu za nchi zinavyoeleza ndilo suala kamanda mgawe analolieleza, tuache ushabk kabla ya kujua taratib za sehem husika (nchi)
Tukianza kuwa na mtizamo hasi kuwa raslimal iliyoko mkoa mmoja isitumike mkoa mwingine ni kushabikia upuuz. Hapa suala c mkoa suala ni nan hasa anaenufaika nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.