Dah mm nna bahati mbaya na marafiki waongo waongo wanapenda kujisifia wanapenda ushindani washari washamba sijui nna mkosi gani 🥹🥹
Huwa sidumu na rafiki hata miezi sita najikuta nampotezea nafanya yangu.
Hivyo sina rafiki am alone na siwataki pia naona maisha ni ya amani ikiwa hivi👋
Habari zenu ndugu zangu.
Naombeni kwa anayefahamu chochote kuhusu biashara hii ya shule za watoto wadogo anipe muongozo japo kwa uchache kwa kuzangatia yafuatayo:
1. Utaratibu wa usajili wa kituo na kiasi cha pesa cha kusajili
2. Curriculum nzuri ya kutumia ambayo ni applicable
3. Faida na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.