Ulishawah fikiria ukipewa majibu hayo unaweza kuwa katka hali gan? Well nimeomba ushaur tu hata naweza omba tena na tena sidhan kama kuna kikomo cha mtu kuomba ushaur kama huwez shaur then kuwa kimya tu
Wajua hamna anaetaman kupata ma tatzo na umeona nimekuja kuomba ushaur jua nimekuwa njia panda sasa ukiniambia hvyo n umenibeza au umenifanya nijione mjinga dah Nashkuru ndugu yangu Ila hujafa hujaumbika sisi n binadamu kama hukuwa na jema la kuandika ungekaa kimya tu kuliko kuniandikia hivi
Nimekuelewa ndugu hata mm nimemshaur tukapime sehemu nyingne ili kujiridhisha na majibu hasa kwa usalama wa mtoto Ila dah sikuwa nimetegemea kufikia huku katka maisha yangu kwa namna nlivyojal afya yangu na ubaya zaid nlishaamua kuwa sihitaj mahusiano mengine zaid ndo maana nlijitahid sana...
Ni miezi kadhaa tumekuwa na mahusiano. Ni kweli kwamba nilimkuta na vimeo vingi sana ila aliniahidi kuacha lakini tulipokuja swala la kupima alikuwa akiitikia tu na kutumia kila namna tuhairishe kwenda kupima. Kwa kweli alifanikiwa na hayo mawazo yakanitoka.
Sasa mimi ni mjamzito, siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.