Shida ni kuendelea kungangania chama cha kifisadi,ulafi,unyonyaji,ubinafsi wakati unatakiwa kikiondoa kidemokrasia hutaki .Kwa nini wewe na kuuliza kwa nini
Huyu Monabani alikuwa mwinjilisti,sasa kajiunga na L nakuacha utumishi kwa ajili ya fedha,
Huu ni uyuda.Hafai we mtoa hoja hebu tupe historia yake ya biashara.
Shida ni kuendelea kungangania chama cha kifisadi,ulafi,unyonyaji,ubinafsi wakati unatakiwa kikiondoa kidemokrasia hutaki .Kwa nini wewe na kuuliza kwa nini
Niliagiza RAV 4 kwa $ 7000 nikatoa kwenye mto wangu kwani ndoninako hifadhi hela yangu kiasi cha TSH 11,200,000 dola ilikuwa Tsh 1600 Ingekuwa leo ingenibidi nitoe kwenye hiyo account yangu TSH 13,580,000.Mie sijui kupiga mahesabu hata nikitaka kujua idadi ya mali zangu natumia vijiti lakini...
Niliagiza RAV 4 kwa $ 7000 nikatoa kwenye mto wangu kwani ndoninako hifadhi hela yangu kiasi cha TSH 11,200,000 dola ilikuwa Tsh 1600 Ingekuwa leo ingenibidi nitoe kwenye hiyo account yangu TSH 13,580,000.Mie sijui kupiga mahesabu hata nikitaka kujua idadi ya mali zangu natumia vijiti lakini...
A you consulting,CDM,CUF,NCCR,NLD (UKAWA) or you are alerting them, cation or,what is your interest. First declare what is your interest shortly with tangible points I real want to help you
Nimesikitishwa sana na taarifa hii.
Lakini hili niangalizo kwa CDM,viongozi wasiwe na upande wowote katika watia nia tena ningesema wasijihusishe nao.Pia huyu katibu Lema hafai hafai,tulisha peleka taarifa kwa uongozi wa juu jinsi anavyo kivuruga chama lakini hakuna hatua yoyote...
Haya tulijua yatatokea na haya ni madogo sana na hayana uratibu rasmi bado wanajipanga kuhujumu UKAWA kwa mkakati rasmi.
UKAWA tutatasongo mbele na tutafanya maamuzi yetu kulingana na tukio,mazingira,mtu,nk.
(Varughe vushaa tekinasha icho.)
Ni hivi CCM na mawakala wake Wilaya wanajua uchafu walio ufanya katika kijiji cha makanya wanafanya kila nijia kushawishi wananchi ili kiongozi huyo aonekane hafai.Kwanza wamefungua kesi mahakamani wasubiri majibu.
Ushauri wangu nduguzangu wa makanya tume onewa na kudhulumiwa kwa muda mrefu...
Kanena ya ukweli tena wana changanya wana chama wana SAME na Pare yote tumesikia kauli ya m.kiti naomba tujitafakari na vishawishi vya mtu anayetumia fedha ataleta ukoma
Meseji muhimu kwa wakati muhimu.Tena hawa wenyepesa wachunguzwe kwa nini wana timia pesa.Mosi uwezo wao wanajua ni mdogo wakijilinganisha na wengine.pili hawana utumishi wana uroho wa madaraka.tatu wana wachanganya wanachama na kukiweka chama matatani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.