Recent content by samaika

  1. S

    nishaurini jaman

    ooh thanx mam, ila mpk kufka ha2a ya kupekenyua cm yake ni bda ya kuona changes, ndipo nikaamua kufanya uchunguz wa karbu ambao ndo huo
  2. S

    nishaurini jaman

    niangalie kama anajitambua na yupo serious na mahusihano ye2 kama anakosea nia na dhumun 2rekebshane
  3. S

    nishaurini jaman

    samahan, maana yangu ni kwamb mfano wewe apo, upo bayana kumweleza mpnz wako mshahara wako ni kias gan? actual mi cna tatz na alpotaka kufaham wang nilimwambia ila nilpomuulza khs wake akasema ni siri yake ctakiwi kufaham. je ni sahih?
  4. S

    nishaurini jaman

    kama mnapendana hamna tatzo.
  5. S

    nishaurini jaman

    mpole kwenye nin mama?
  6. S

    nishaurini jaman

    nifaham mwenendo wake na anajtambua vp akiwa kama m2 wa m2 na kama anakosea 2narekebshana
  7. S

    nishaurini jaman

    hivi ni sahih kushka simu ya mpenz wako na kukagua? pia kufaham mshahara anaopokea ni vbaya as long as mna future?
  8. S

    Natafuta kazi ya Records Management

    c ameshasema "am a lady" sa hujaelewa wap na wewe
  9. S

    natoa huduma za bima kilimnjaro/zanzibar insurance corporation

    natoa huduma za bima za vyombo vya usafiri kwa bei poa kabisa. tupo ilala boma, mtaa wa mororgoro karibu na msikiti opposite na mahakama ya mwanzo. lakini pia tuntoa huduma ya kukufuata ulipo bila ya malipo kwa kuboresha huduma zetu. mawasiliano 0716747117. karibuni wote
  10. S

    New TPDC Updates

    waliointerview tarehe ngapi?
  11. S

    New TPDC Updates

    asante kwa taarifa
  12. S

    jipatie huduma ya bima hapa

    napatikana ilala boma mtaa.wa mirogoro na arusha, lakini pia huwa tunamfata mteja alipo kwa kuboresha huduma zetu.! kampuni inaitwa kilimanjaro insurance agency co.ltd chini ya zanzibar insurance corporation. piga 0716747117 kwa mawasiliano zaid. karibuni wote
  13. S

    Huduma za bima

    natoa huduma za bima za vyombo vya usafiri, kampuni yangu inaitwa kilimanjaro insurance agency co.ltd ni usharika na zanzibar insurance.! napatikana ilala boma mtaa wa morogoro na arusha, kwa kuboresha huduma huwa namfata mteja alipo kumuhudumia.! mawasiliano 0716747117.. karibuni wote
  14. S

    New TPDC Updates

    procurement waliofanya tarehe 10/4 vp mbona sioni matokeo yao jaman..?
Back
Top Bottom