Wapanga mpango wa kutoa tamko makusudi ili JPM aonekane mbaya huku wakijua fika kuwa Magufuli amepata tabu kuiweka Tanzania kwenye ramani ya haki na utawala bora kama ilivyokuwa enzi za Nyerere
Wao ndo walio hujumu korosho, Sukari na kwe saruji pia kwa kushirikiana na wafanyabiashara wasiokuwa...
Nchi hii kuna watu hawapendi kuona Tanzania ikipambana na kushinda hasa kwa yale mambo ambayo hayakufanyika miaka ya nyuma, lakin nawahakikishia watakua disapointed sana maana JPM anazidi kufanikiwa mpaka wanatamani waingie chini ya ardhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.