Imekuwa ni janga si tu katika nchi zetu za ulimwengu wa tatu bali hata katika ulimwengu wa kwanza. Naomba tujadili kwa umakini mkubwa kiini cha tatizo na jinsi ya kukabiliana nalo...maana maisha na ustawi wa mwanadamu unakuwa hatarini katika ulimwengu usiokuwa na familia zinazosimama katika...
Ni ushauri kutoka kwenu wana jamii...maana nina rafiki yangu...yeye anapenda sana totoz ila hasa wake au wapenzi wa watu wa karibu naye hasa mabest zake...sasa amenisimulia hali hiyo pamoja na kukiri kuwa ni shida ila sioni kama anajuta maana ndio kwanza baada ya muda utamsikia anaanza kusifia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.