nawasalimu katika jna la MUNGU muumba wa mbingu na nchi!
kwa habari yatathmini ya utawala wa huyu kiongozi wa sasa wa Taifa letu, nimepitia maoni na maswali mengi ya wachangiaji wenzangu nimejifunza mengi, kwa kuzingatia ukweli kwamba; mahitaji ya watanzania katika maisha ya kila siku hasa...
Haya a mengineyo yote ni maoni ,ila naomba msome hii!! hivi ni nini kiini cha wazo la huyu mtoa mda kwa mtazamo wako? kwa kiini hicho, katika wakati huu tete, unadhani ni vema kwa watu wapevu kisiasa kulianzisha hili?
vile vile ukijiona wewe ni mchanga ktk uchambuzi na utambuzi wa mada fulani...
kwa muda wote nilikuwa nasoma ujumbe nione nini lengo na uweledi wa mtoa mada ili nitoe mchango wangu! nimebaini anafahamu kuwa hivi punde CHADEMA itaingia ikulu ila anatoa rai kuwa, wasichague mwananchi wa darasa la saba kwa nafasi ya uwaziri! si wazo baya, ila anaonekana jinsi alivyo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.