Recent content by Salum mgombe

  1. Salum mgombe

    Malipo yapoje katika njia ya Western Union - Nini nizingatie?

    si tunaweka nini na we unaweka nini Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Salum mgombe

    Malipo yapoje katika njia ya Western Union - Nini nizingatie?

    hapa tayari.. nachotaka kuju ile karatasi nikishatumiwa kwa email alafu nini kifuate ili nipate mpunga Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Salum mgombe

    Malipo yapoje katika njia ya Western Union - Nini nizingatie?

    Habari wakuu.. Kama inavoonesha hapo katika kichwa cha habari. Nimetimiza pesa yangu katika Adsense na nataka kuitowa kwa njia ya Western Union, Swali langu je nini chakuzingatia mpaka pesa inifikie? Na ikishanifikia naenda kwa agent na kumpa vielelezo gani ili anipe pesa yangu cash...
  4. Salum mgombe

    Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

    asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Salum mgombe

    Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

    Mzee kwanza nashukuru sana kwa msaada. Swali langu je naweza kufungua payoner then bila ya kuwa na kadi yao nikapokea pesa kwenye akaunt yangu na kuhamisha kwenye local benk yangu iliyoko nchini? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    app ina matangazo ya Facebook?? yani ndo vipi nashindwa kukuelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    nieleweshe Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    Pole sana, ni PM nkupe somo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    nnayo kama matano hapa, ukitaka mengi zaidi huwa wanayauza baadhi ya watu sio poa hahaha Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    hukufanikisha kutoa ?? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    inategemea wapi unapotoa picha yako, kama ni kwenye website zitoazo free photo without copyright mfano Pexel.com hawa wako vizuri picha zao zina quality sana. Kama program unatumia kutengezea picha basi iwe ni Picsart au Pixelab Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    ooh, mana the way umenijibu nikafikiri nitawepa pata magroup toka UK NA USA hata kadhaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Salum mgombe

    Matangazo yapi ni nafuu kwenye blog

    Mr mchoon kajibu vizuri sana.. Chakuongezea hapo ni kwamba kama blog yako ni kwaajili ya kutengeneza brand na kujulikana katika jamii basi ni vizuri kutumia Adsense. Kwa mapato pekee tumia propellerads maana wako vizuri na wanasapoti pop under na onclick hii ikiwa njia nzuri ya kuongeza CPM...
  14. Salum mgombe

    PropellerAds kiundani - Jinsi ya kushea Facebook - CPM ya sauzi | Ushauri

    sjakuelewa ndugu,, vipi unaweza nielekeza vizur hilo tatizo?? vyema kama ukiweka na link ya site yako hapa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom