Hakuna kiongozi sahihi wa kumchagua ndio maana wente akil hubaki nyumban na familia zao
Kiongozi anapanda jukeaan na kushinikiza kuwa akichaguliwa yy atatatua kero zote mtaan na atasimamia kila kitu
Tena kila mwananchi wa mtaa huo atapata tank 1 la maji la lita 300
Ila akishakalia kiti...
Kwanza shule huonhaijaelezwa ina idadi ya wanafunz wangap
Na mwalimu wa kujitolea ana takriban miaka 2 ni nini kinafanya wasimpe ajita kwenye shule hyo?
Na hao waalim ambao wana mishahara halafu hawafiki shulen watachukuliwa hatua au hawana hatia kwavile ni makada wa ccm
Hawa majajo wa siku hz ni kama askar tu ukiwa na hongobmfukon basi huna kesi
Miaka 16 sio mtt ni kijana hyo alistahil kwenda gerezan ili iwe fundisho kwa wengine
Sasa hapo anatoa adhabu nyepesi maana yake anahamasisha ubakaji uendelee
Kumbe uchimi umeongezeka na hamsemi
Magari yaliyonunuliwa na serikali ya awamu hii ni mengi mno kabkati ya hayo asikimia 65% yameegeshwa kwenye taasisi husika kwa kukosa mafuta
Na asikinia 35% ndio yenye mafuta ila hayatembea kutatua kero za wananchi bali yanazurura mitaan yakiwa na dereva...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.