Nalaani mauwaji yasiyo na hatia na kwa vile wamedhulumia haki yao wataikuta siku ya hukmu.
Lakini kama hujapata kibali cha maandamano kwa nini ukajitie kwenye mkumbo. Kutumia risasi za mpira zilipendwa weee ukileta ubishi utatangulia tuuu. Pumbaff
Ila sio kwa waliouwawa juzi maana wao hawakuwa...
Me nimeshakupenda hivyo hivyo ulivyo. Kwa vyovyote vile me nakupenda. Nipo Zanzibar nitafute private. Nampenda mtu alietendwa coz I believe she knows the the impact of kutendwa she will not do to me. Please come to my personal contact
Hao ni wanasiasa utajiumiza kichwa bureee labda na wewe uwe mwanasiasa na wa chama fulani ili uweze kuguswa sana na kinachoendelea. Sisi wengine ni wapigaji kura kisha ni wafatiliaji wa ahadi za tuliempigia kwenye siasa hujiweka pembeni kabsaaaaaa. Poleni msioisha siasa yaaani siasa tangu...
Kazi na dawa haina maana masaa 24 to 27 wewe ni kazi tuu ndio mtasema anakurupuka kwenye maamuzi kumbe hakua na muda wa kupunzisha akili[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Tumeibiwa vya kutosha sasa tusimame kwa pamoja tusiingize U CCM wala UKAWA . hii ni issue ya kinchi sisi ndio tunaoathirika zaidi. Utashangaa watu kama sio wazawa wala hawana uchungu wa nchi hata kidogo. Tumemuogope Mungu TUJUE KUA MUNGU ATAKWENDWA KUTUULIZA KWA KILA NUKTA YA MAISHA YETU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.