Recent content by salma juma

  1. S

    Niko sahihi au?

    usiku mwema mpendwa.
  2. S

    Niko sahihi au?

    kiukweli unanihukumu kakangu,mungu atanisimamia kwa hili na lingine.....Amin.
  3. S

    Niko sahihi au?

    nimerudi ndugu,unalolisema halina ukweli hata kwa aslimia 0,ulomtaja hana mume mie nna mume mtu wa mbeya,ulomtaja anamtoto molato mie mtoto wangu mswahili kuanzia rangi mpaka nywele,ulomtaja mwanae ana miaka saba wangu anamiaka 14....ila yeye ndo mwanzo wa mimi kuuliza swali langu lakini...
  4. S

    Niko sahihi au?

    unanihukumu mpendwa kwa kusema nna kiburi...kuhusu mchungaji kiukweli mpaka sasa nilikuwa najidanganya kuwa atabadilika leo,kesho masiku yanakata ila nnalazimika kulifasnyia kazi hilo kwa sasa,umeniacha kidogo hapo mwisho kwenye msamiati
  5. S

    Niko sahihi au?

    nashukuru mpendwa,tutafanya hivyo
  6. S

    Niko sahihi au?

    mhh mpendwa hakuna mahali nimesema kuwa akiwa na kiu anajua mahali pa kunipata...nazungumzia tatizo la yeye kutojua nini maana ya familia
  7. S

    Niko sahihi au?

    hapana sijamaanisha ulichosema ila nimejaribu kukufanulia kuwa si mzee kiasi cha mimi kumuona kichefuchefu ila ni matendo yake ya kuudhi na kukera
  8. S

    Niko sahihi au?

    nashukuru mpendwa wala hajaisha ladha ndo kwanza anawika...ukizingatia ujana wa mwanaume unaanza na miaka 40 sasa yeye ana mmoja zaidi kuufikia...ila nadhani akinihitaji anapaswa abadilike na acheze nafasi yake kama mzazi kwa kijana wake,na analielewa hilo
  9. S

    Niko sahihi au?

    nashukuru mpendwa ubarikiwe
  10. S

    Niko sahihi au?

    ni wake mpendwa mahali tunakoishi ukipata mtoto mwanaume anapima na kuhakikisha kabisa kuwa ni wake halafu anasign,nae alipitia yote hayo na anauhakika kwa aslimia mia moja kuwa ni wake...hakuna shaka juu ya hilo
  11. S

    Niko sahihi au?

    du nashukuru kwa ushauri mpendwa,ila elimu,kazi,wapi tunapoishi siwezi kupataja kwa sababu ni mambo binafsi zaidi.hiyo ya kula ilikuwa kabla sijamtenga maana kwa sasa kuna muda mrefu sana haelewi hata tunakula wakati gani
  12. S

    Niko sahihi au?

    sijaelewa inakuwaje mtoto mmoja awashinde muongeze wengine...
  13. S

    Niko sahihi au?

    naheshimu mawzo yako,kama mzazi siwezi fanya unalofikiria...kama ingetokea angefanya unalosema wala usingeniona hapa na thread ya aina hii
  14. S

    Niko sahihi au?

    usipotee nahitaji mchango wako mpendwa
  15. S

    Niko sahihi au?

    nashukuru mpendwa kwa ushauri wako..nna imani ntafanikiwa kumfikisha mwanangu anapostahili.
Back
Top Bottom