Recent content by salisalum

  1. salisalum

    Who is in control? Nani hasa anatawala nchi yetu?

    Ndugu Watanzania naomba tutafakari hii hoja iliyoko kwenye swali, nani hasa kwa sasa anaongoza nchi yetu? Kwa nini nimeleta hii hoja? Nina sababu kadhaa ambazo nitazitanabaisha hapa chini: 1. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwa bungeni mara baada ya kujitangaza mshindi katika uchaguzi ambao...
  2. salisalum

    GE2025 CCM haina aibu wala haijali kushiriki uchaguzi

    Tangu nianze kupiga kura wakati wa chama kimoja hadi leo sijawahi kuona uchaguzi kama wa mwaka huu. Uchaguzi wa kihuni na uhuni huo unafanywa waziwazi. Watanzania inabidi ifike mahali tuseme sasa basi. Bora watawale wakijua hawana mandate ya Watanzania. Tuwakatae. Hakuna mtu wa kutulazimisha...
  3. salisalum

    Wizara ya Ardhi-Web page yenu ya kukadiria kodi ya viwanja haifanyi kazi

    Ukibofya sehemu ya kuchagua mkoa au hata wilaya hakuna orodha inayotokea.
  4. salisalum

    Ni nani hasa anaamuru watu kutekwa na kupotezwa?

    Ni kikosi kazi, wako polisi na TISS. Wakati wa Magufuli walikuwemo pia JWTZ, Magereza, Jeshi usu la wanyamapori, na TRA.
  5. salisalum

    PreGE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

    Ubaya ubwela na kurjuan pia. Alopanga, alofikiri, alidhamiria na alofanya wote kwa nyakati tofauti wanaondola.
  6. salisalum

    Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

    Pole sana. Ukicheza kamari ni muhimu sana ujue muda wa kuingia na kutoka. Kama huujui basi jitenge na huo mchezo.
Back
Top Bottom