Ndugu Watanzania naomba tutafakari hii hoja iliyoko kwenye swali, nani hasa kwa sasa anaongoza nchi yetu?
Kwa nini nimeleta hii hoja? Nina sababu kadhaa ambazo nitazitanabaisha hapa chini:
1. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwa bungeni mara baada ya kujitangaza mshindi katika uchaguzi ambao...
Tangu nianze kupiga kura wakati wa chama kimoja hadi leo sijawahi kuona uchaguzi kama wa mwaka huu. Uchaguzi wa kihuni na uhuni huo unafanywa waziwazi.
Watanzania inabidi ifike mahali tuseme sasa basi. Bora watawale wakijua hawana mandate ya Watanzania. Tuwakatae. Hakuna mtu wa kutulazimisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.