Recent content by Salim Khatri

  1. S

    VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    Kwiiii kwi kwi!!! Mbavu zangu! Kwa hiyo ulipoandika "kodi" ulimaanisha "sales tax" hata ukaamua kuniletea "copy & paste" za kuonyesha tofauti ya sales tax na VAT? Ujanja mwingi, mbele kiza!
  2. S

    VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    Kodi na VAT? Yale yale ya Barabara ya Morogoro Road!
  3. S

    ESCROW na Makandokando yake

    Hili suala la Escrow lililetwa bungeni hasa na Zitto Kabwe kupitia mgongo wa David Kafulilla ambaye hapo zamani walikuwa maswahiba wa karibu kabla hawajageuziana vibao. Zitto Kabwe alikiri Bungeni kuwa aliwahi kufuatwa na balozi wa Uingereza akiwa na ujumbe wa Standard Chartered Bank (SCB). Japo...
  4. S

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Nani kakudanganya kuwa sukari ya viwandani hailipiwi kodi? Embu mfanyage utafiti kabla kukurupuka na kuandika mambo ya ajabu ajabu.
  5. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Na Statement ya MCC Board baada ya sakata la Escrow iko hapa: MCC Statement on Board of Directors' Discussion of Tanzania at the December 2014 Meeting
  6. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Unaleta ubishi wa kitoto. I don't have for it. Soma statement hizi mbili za Septemba 17, 2015 na Septemba 26, 2015. MCC Statement on Board of Directors' Discussion of Tanzania at September 2015 Meeting MCC Statement on Tanzania Passing the FY 2016 Control of Corruption Indicator Kama una jipya...
  7. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Nimekueleza kuwa hizo fedha zilitoka baada ya wahisani kuridhika na "hatua zilizochukuliwa". Think beyond where you are stuck....
  8. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Hatua zilichukuliwa na MCC waliridhika waka-release funds. Katika hatua zilizochukuliwa kulikuwa hakuna kurudishwa kwa fedha za Escrow lakini pia MCC wali-release fedha. Kuiondoa kabisa Tanzania kwenye mpango wa MCC ulitokana na uchafuzi wa uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao. Unaweza...
  9. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Misaada ile ilitolewa. Una kumbukumbu ndogo sana. Fanya jitihada za ku-Google utapata taarifa zote.
  10. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Domo Kaya, Suala la umiliki wa IPTL ni suala lililokuwa mahakamani. Bunge linapoamua kujadili na kufikia maamuzi masuala ambayo yako mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama. Kuhusu barua ya Standard Chartered Bank, you are missing my point. Kile kilichopendekezwa na mpango maalum ulioitwa...
  11. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Napata hisia kuwa wewe ni kauzu la lile chama chama cha mawese. Nina sababu zangu za kuamini hivyo.
  12. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Anayepima kwa kijiti haya maji marefu ni wewe, siyo mimi. Mimi nimeweka hoja zangu, kama una hoja mbadala unakaribishwa. Kama huna, maoni yako ambayo ni haki yako, kaa nayo wewe.
  13. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Hakuna sehemu yoyote ya Ripoti ya CAG inayosema kuwa fedha zilizokuwa kwenye Escrow ni fedha za umma. PAC inajikanganya, mara inasema fedha za Tegeta Escrow ni fedha za umma, mara inasema huenda kwenye pesa hizo kuna fedha za umma kwa sababu kuna kodi ndani yake, na mara nyingine inadai kuwa...
  14. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Usichanganye mambo. Fedha za MCC zilizuiwa kutokana na uchafuzi wa uchaguzi wa Zanzibar. It has nothing to do with Escrow. Misaada iliyozuiwa na baadaye kuruhusiwa baada ya MCC ni ile ya Waingereza na nchi wahisani wengine ambao walishawishiwa na ubalozi wa Uingereza. Ubalozi wa Uingereza una...
  15. S

    Je, Zitto Kabwe anatumiwa na Standard Chartered Bank?

    Acha uongo, hakuna Ripoti BATILI kama unavyodai. Ripoti ya PAC iliiitwa "TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA" Huo UBATILI unaoudai wewe uko wapi?
Back
Top Bottom