Katika Hali isiyo ya kawaida baada ya walimu wanachama wa CHAKUHAWATA kujikuta wamekatwa mara mbili kwenye mishahara yao ya mwezi huu JULY baada ya MAMA kufanya yake,walimu hao wamejikuta wanakatwa vyama vyote ada ya uanachama yaani CWT na CHAKUHAWATA ilihali walishahama chama hicho ( CWT) kwa...
Ni kwamba naanisha "Referee wa kati"
Alikwenda kuangalia yy mwenyew VAR??
km ni YES mkeka wamenikosesha na km HAKWENDA basi sahihi kuLOOSE
Ko nawaomba waliochek game wanipe mrejesho
[emoji95][emoji95]Msaada please!!![emoji95][emoji95]
[emoji117]Mlioangalia mechi ya ARSENAL hivi main referee aliangalia VAR au hakuangalia coz niliweka MAIN REFEREE TO WATCH VAR YES afu nimekosa na vyanzo vyangu vinaonesha aliangalia VAR ko naomba msaada ili nijue nimekoseshwa mpunga au vp
Msaada tafadhali
Mwenye mawasiliano na HELABET tafadhali either email or phone number
Helabet wanataka waniamshe kichaa mkeka umetiki wameweka LOSS bullshit dadeq
TODAY TIPS
[emoji95][emoji95][emoji109] ALL UEFA champions league [emoji95][emoji95]
Every match Total cards over 3.5
Usije sema nimekula peke yangu[emoji120][emoji120]
Keka la bure hilo halina CoDE
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji95][emoji95][emoji109][emoji109]
Mawazo mazuri Sana!!
USHAURI WANGU!!
Tuanze mkakati wa kuchambua mechi at least 5 kwa siku then kila mmoja atembee nazo kwa uwezo wa wallet yake
Swala la kuchangishana kwenye betting is BIG NOOO..!!
Tuache mchezo wa ma-code code tutazidi kumnufaisha kanji kila Leo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.