Recent content by salehe93

  1. S

    Utapeli wa mtandaoni

    Habari msomaji! Nataka kuliweka wazi ili suala la utapeli unaozid kuenea kila siku na wengi wakiwa ni waanga, kuna matangazo mengi ya kibiashara hususani yale yanayo postiwa #zoom, tupatame..... nk, na wengi
  2. S

    National service!!!

    Inamaana wote na wanaotoka vyuoni nao ni lazima waende? Na kama ikitokea mtu hajaenda itakuaje?
  3. S

    Mishahara ya walimu

    Co kwamba nimeuliza hilo ati nimwalimu, nilikua nataka nijue tu! Kama ningekua ni mwalimu si ningefahamu mshahara?
  4. S

    Mishahara ya walimu

    Kwa Daraja la chini inakuaje?
  5. S

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Yah! Mtaala ndio unaopaswa kubadilishwa, inakuaje mwanafunzi wa kidato cha nne anamaliza hata ajui aanzie wap katika harakat zake za maisha, itakua kufaulu mtihan? Hata kama atafaulu lakin bado hajajengeka kielimu, haya yote ni mtahara mbovu. UBADILISHWEEEE....!!!
  6. S

    Mishahara ya walimu

    Ndio jumla hiyo ukijumlisha na ile asilimia walioongeza?
  7. S

    Hivi mwajiri wa sisi walimu ni nani??

    Sorry! Kwani mshahara wa walimu ni shngap?
  8. S

    Mishahara ya walimu

    Habari wana Jf. Jamani naomba kwa yeyote anayejua mshahara wa walimu wa shule za msingi anijulishe,
Back
Top Bottom