Habari msomaji!
Nataka kuliweka wazi ili suala la utapeli unaozid kuenea kila siku na wengi wakiwa ni waanga, kuna matangazo mengi ya kibiashara hususani yale yanayo postiwa #zoom, tupatame..... nk, na wengi
Yah! Mtaala ndio unaopaswa kubadilishwa, inakuaje mwanafunzi wa kidato cha nne anamaliza hata ajui aanzie wap katika harakat zake za maisha, itakua kufaulu mtihan? Hata kama atafaulu lakin bado hajajengeka kielimu, haya yote ni mtahara mbovu. UBADILISHWEEEE....!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.