Recent content by Salehe Kungule

  1. S

    Ripoti mpya ya mauaji ya halaiki ya tembo Tanzania

    Kwa hiyo mwakani hatutokuwa na tembo hata mmoja kulingana na poaching rate ya sasa.
  2. S

    Uhuru, Kikwete agree to defuse tourism dispute

    Hawa jamaa wana akili fupi. Kazi ni kuburuzwa na Rwanda. Dawa ni hii tu: ukimwaga mboga, tunamwaga ugali. Hata hivyo Tanzania tumekuwa wavumilivu kwa kipindi kirefu. Hii ni kutokana na Diplomacy yetu iliyokomaa. Pia hawa jamaa ni juzi tu walikuwa wanatengana kwa makabila yao mpaka kufikia...
  3. S

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Nilikuwa naangalia Habari ya saa 2 ITV. Nampenda sana Mzee Lowassa, yupo straight kwenye kauli zake. Nimependa sana pale aliposema: "marehemu ni muhimu sana kwa familia, chama chetu katika harakati za kushika dola na HASA MIMI BINAFSI".
Back
Top Bottom