Recent content by Salehe.ally93

  1. S

    Yaliyotokea GEITA: Nini kifanyike kuzuia na kuepusha tofauti za kidini hapa nchini??

    Ni kweli ulicho kiwakilisha, na ndivyo kama watanzania tutaweza kujenga umoja wa kitaifa, kama mababu zetu waliamua kuchukua hatua nzuri kabisa ya nani achinje! Tena walifanya hivyo kwa hekima ndio maana imefika sasa miaka 50 hakujatokea mambo kama yaliyofanyika huko geita. Ninacho wataka...
  2. S

    Vyuo vya afya

    Jamani naomba munifahamishe matokeo ya wanaochaguliwa na kujiunga na vyuo vya afya huwa yanatoka awamu mbili ama?
  3. S

    Sponsorship ya mkapa foundation

    Ni muda sasa tangu mkapa foundation walichukuwa majina ya waliomba udhamini wa mafunzo ya afya lakini mpaka hii leo hakuna kilichojili! Plz wanajamii f- kama kuna yeyote anayejua kinachoendelea huko atufahamishe maana kama vyuo vya afya tayari vishaanza masomo!
Back
Top Bottom