Hili tatizo lilianza taratibu wiki mbili sasa zimekamilika .wiki ya kwanza ilisha nikiwa na endelea na kazi niliyokuwa naifanya wiki iliyofuata ambayo ndo tumimalizia jana maumivu yakaongezeka hadi nikashindwa kuendelea na kazi maana maumivu yalienea hadi kiuno kikawa kinaniuma na ikiwa kazi...
Habari wa JF. Ndugu yenu hapa ni wiki sasa nasumbuliwa na maumivu ya nyonga . Mwanzo nilianzia kuumwa na kiuno na nyonga ila kwa sasa kiuno kipo vizuri kilichobaki ni nyonga kuuma. Maumivu yapo ndani na nje kwenye misuli ya kuja kuunga na kiuno ina kuwa kama inakaza, kuna dawa ya asili ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.