Recent content by Sal pa

  1. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    Mbezi sehem gani boss
  2. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    Nmepata nafuu ila bdo maumivu nayahic ila cyo kama awali
  3. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    Nitashukuru sana mkuu.
  4. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    maumivu wakati wa kukojoa au kuvuta kwa korodani hapan labda kwa mbali nani mara chache sana sehem ya haja kubwa muda mwingne ndo nahic kuvuta kidogo.
  5. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    Hili tatizo lilianza taratibu wiki mbili sasa zimekamilika .wiki ya kwanza ilisha nikiwa na endelea na kazi niliyokuwa naifanya wiki iliyofuata ambayo ndo tumimalizia jana maumivu yakaongezeka hadi nikashindwa kuendelea na kazi maana maumivu yalienea hadi kiuno kikawa kinaniuma na ikiwa kazi...
  6. Sal pa

    Ninasumbuliwa maumivu ya nyonga

    Habari wa JF. Ndugu yenu hapa ni wiki sasa nasumbuliwa na maumivu ya nyonga . Mwanzo nilianzia kuumwa na kiuno na nyonga ila kwa sasa kiuno kipo vizuri kilichobaki ni nyonga kuuma. Maumivu yapo ndani na nje kwenye misuli ya kuja kuunga na kiuno ina kuwa kama inakaza, kuna dawa ya asili ambayo...
  7. Sal pa

    Umuhimu wa kujitenga na masikini pindi uchumi unapoanza kuimarika

    Nakubaliana na wewe 💯 japo kuna wengine watakupinga ila kwa kutokulitambua hilo.
  8. Sal pa

    Dawa ya kiuno

    Hiyo tangawizi na mizizi ya ndulele unaiponda ponda?
  9. Sal pa

    Mume na Baba wa familia anahitajika

    Aisee hli janga limekomaa ingependeza ITV iwatengee kipindi cha kutafuta waoaji, kaz mnayo na bdo
  10. Sal pa

    Nina laki 7+ kwaajili ya bajeti ya kununua simu

    mbn iphone 16 pro max ni kama zaidi ya laki 7 mkuu?
Back
Top Bottom