Recent content by Sakwe

  1. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Siri ndio maisha yako, jifunze kutunza siri

    Ndugu Msomaji wa makala za BAKIIF. Bila shaka unampenda MUNGU Sana, tunaamini hivyo japo hufuati amri zake, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-MUNGU. Siri ni mipango iliyo ndani ya moyo wa mtu juu ya hatima ya...
  2. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Je, ya Humphrey Polepole ndio ya Paschal Mayalla?

    Ngoja waje wajuzi
  3. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Je, ya Humphrey Polepole ndio ya Paschal Mayalla?

    Kuna Sehemu tumezungumzia utekaji
  4. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Je, ya Humphrey Polepole ndio ya Paschal Mayalla?

    Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha. Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao. Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa...
  5. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Tungeachana nao maana inawezekana ukawa upande wa watesi wangu na wewe maana kampuni ya haishindwi kuweka mashushuu humu
  6. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Kikao kilichokaa leo ni zaidi ya kikao cha mtikila
  7. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Nikuelewa mkuu na nimekaa mkao wa push up kama umbwa
  8. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Hili ni zaidi ya funzo kwangu mkuu nimelibeba asilimia zote
  9. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Asante sana Mkuu nitakuwa makini sana tena sana asante kwa dua nyingi sina la kulipa
  10. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Wakuu salaam! Husikeni na kichwa hapo juu, Naishukuru Tume imeamua kwa moyo mkunjufu kuniacha niendelee na kibarua japo kwa uangalizi maalumu tena wa karibu mnoo. Jobless mimi ni ndugu yenu na sitoacha kuwa ndugu yenu likitokea la kutokea tena mkataa kwao mtumwa nitarejea Wenu sakwe bin...
  11. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Huyo naye alichukulia personal kwakweli ila ndio maisha ka mkubwa 😀
  12. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Nyie nipigieni dua yoyote tuu wakuu
  13. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Najuta ila ndio ukubwa master
  14. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Hili neno kamarada
  15. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Duuh mkuu, pole sana.
Back
Top Bottom