Ndugu Msomaji wa makala za BAKIIF.
Bila shaka unampenda MUNGU Sana, tunaamini hivyo japo hufuati amri zake, lipo kusudi la Mungu kutaka kukusaidia jambo Fulani ikiwa uko tayari katika yote jiepushe na mafundisho yasiyokuwa ya ki-MUNGU.
Siri ni mipango iliyo ndani ya moyo wa mtu juu ya hatima ya...
Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha.
Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao.
Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa...
Wakuu salaam!
Husikeni na kichwa hapo juu, Naishukuru Tume imeamua kwa moyo mkunjufu kuniacha niendelee na kibarua japo kwa uangalizi maalumu tena wa karibu mnoo.
Jobless mimi ni ndugu yenu na sitoacha kuwa ndugu yenu likitokea la kutokea tena mkataa kwao mtumwa nitarejea
Wenu sakwe bin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.