Najua watanzania wengi hawajui maana ya uchaguzi na hawawezi kusoma alama za nyakati,CCM is the corrupt party and we don't think if pombe magufuli is not corrupt.The beautyfull one are not yet born may be from ukawa and not CCM.
Watanzania wengi ni maskini sana ndo maana wanampinga lowasa kisa yeye ni tajiri,tuspo simama na kuchagua mtu mwenye uwezo wakutoa katika dimbwi la umasikini tutazidi kuwa omba omba.
Nashangazwa na wanaosema lowasa fisadi,amewafisadi nn?na kama ni kweli kwann wasimfungulie kesi mahakaman?Lowasa...
Watanzania wengi ni maskini sana ndo maana wanampinga lowasa kisa yeye ni tajiri,tuspo simama na kuchagua mtu mwenye uwezo wakututoa katika dimbwi la umasikini tutazidi kuwa omba omba.
Nashangazwa na wanaosema lowasa fisadi,amewafisadi nn?na kama ni kweli kwann wasimfungulie kesi...
najua kuna watu wakisikia au kuona jina lowasa anaumia sana ila mm nitoe tu pole kwa wote wenye hali kama iyo maana lowasa ndio rais wa Tanzania wandugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.