Barabara ya Morogoro maeneo ya Kimara “Ukanda wa Gaza” kuna jambo linachanganya kidogo
Wakati wa JPM tuliambiwa waliojenga ndani ya mita 60 za barabara wavunje majengo yao. Nyumba zikabomolewa, hata vituo vingi vya mafuta vilivyokuwepo vilikula umeme.
Lakini sasa mbona vituo vipya vya mafuta...
Alihakikisha PGO inakua uraiani, askari wajue utendaji wao wa kazi, na raia wafahamu mipaka na namna utakelezaji wa kazi za kipolisi unavyofanyika. Kabla ya hapo PGO ilikuwa imefichwa sana, na mpaka leo askari polisi bado hawaifahamu kabisa. Matokeo ndio vichekesho mahakamani wanapokutana na...
🏡 KARIBU PENTHOUSE – MOSHONO LAIZER, ARUSHA 🏡
Unatafuta sehemu ya kisasa, tulivu na yenye hadhi kwa mapumziko au safari yako ya kikazi Arusha? Penthouse ndiyo chaguo sahihi kwako! ✨
📍 Inapatikana Moshono Laizer, Arusha – kwenye barabara mpya ya Afrika Mashariki
🚍 Umbali wa kilometa 10 tu...
Mkuu hizi taarifa za gharama ya iSt bila shaka ni za mwaka 2012 hivi. Tafuta gharama halisi za sasa uziweke hapo ili bandiko lake liwe na uhalisia. Usipunguze bei kimkakati.
Sio kuwa kipindi hicho walikuwa wanaheshimu utawala wa sheria na mambo ya sovereignity, kwamba wasingeweza kufanya umafia kweupe hivyo. Sasq Mkuu wa Mkoa alichukuliwa hatua gani kwa kutoa amri mbovu hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.