Hii nchi imejaa majizi tu. Yaani unalipia daraja? Mbona hatulipi kuvuka daraja la kikwete kule kigoma, daraja la ipogolo Iringa au daraja la ndodi kule majumba sita? Ilitakiwa tuwe tunapita bure, tunatozwa kodi mara mbili, barabara ni pamoja na madaraja.
Ni sherehe kwenye misiba wanayosoma eulogy na sio hii ya kwetu tunayosoma historia ya marehemu. Kwenye misiba yetu watu wanalia machozi mwanzo mwisho, sherehe gani ushaona watu wanalia yowe?? Kwetu msiba ni shida, ni huzuni. Tufariji wafiwa badala ya kuwaongezea mzigo na wasiwasi kuwa...
Wao kuwa na tamaa hakutabadilisha matakwa yako, kama wosia utakua umekidhi vigezo hata upingwe mpaka Mahakama ya Rufani, hautabatilishwa. Onana na wakili akuandalieni vyema wosia, ndio suluhu ya vurugu mechi kama hizi.
Wameua kivuko Ferry ili Azam aweke boti zake, na aonekane anatoa msaada kwa wananchi kuvuka. Yaani biashara inaanzishwa kwa kuwa wateja wapo tayari, nauli ni Tshs. 500, waliotoa deal wakipewa hata Tshs. 100 tu katika hiyo ni mabilionea.
Yaani mimi mpaka leo sielewi undugu wa Jasusi Ben Membe na Jakaya Kikwete ni ndugu wa kuzaliwa, ni marafiki tu au vipi. Historia haijaandikwa vizuri na sisi watanzania wenyewe.
Uraia wa JPM ulikuwa na mashaka kuwa ni Mnyarwanda. Sasa ishu hiyo si ilikuwa rahisi tu kwa kuangalia shule alizosoma...
Zote ni taasisi za serikali hizo, watashirikiana kupeana taarifa. Kwa tulipofikia hata ukipeleka malalamiko ya vifurushi vya internet DAWASA au Muhimbili National Hospital ni sawa tu😄😄.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.