Ila naona sasa hivi wanafanya kampeni sana, wanalazimisha uunganishwe na fiber, kama imepita mtaani kwako unafungiwa siku hiyohiyo. Mimi natamani sana wafike mtaani kwangu aisee
DAR ES SALAAM: IN efforts to strengthen Tanzania’s communications infrastructure and expand access to reliable internet services across the country, the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL) has officially launched a new high-speed internet service dubbed “Faiba Supersonic Experience...
Mambo ya fedha za Wizara si ni mpaka Bajeti ijadiliwe na kupitishwa na bunge? Au sass hivi kila kitu kinaenda kwa maamuzi tu ya watu wachache? Mfano Kodi za magari na ushuru bandarini siku zote tunajua ni suala la kibajeti, bunge ndio linapitisha viwango na tozo, lakini sasa hivi kila siku kodi...
Lakini na wewe si unaweza kutengeneza portal kama hizo mkuu? Hii website yao kwenye simu haifunguki, ilhali kwa simu mtu ndio anakua na urahisi wa kuingia muda wowote
Kaka wenye mabasi wanasema, wanalipa ushuru ila basi haliendi. Wewe utakwenda stendi kufanya nini? Wewe unakwenda ila basi haliji, unapanda mikweche isiyo na terminal zao
Pia ni hasara kwa halmashauri na wananchi wake, mfano kule Dodoma Nanenane abiria hawapendi kwenda, matokeo ni kuwa mabasi yamejenga stendi zao mjini. Stendi iliyojengwa kwa mabilioni haitumiki.
Mfano Dar ile stendi ya Magufuli, mabasi ya Tanga, Arusha nk hayataki kuingia stendi yanaanzia...
Unakosolewa kuwa hazitumiki. Zipo mbali na miji, watu kuwahi hizo stendi asubuhi ni hatari sana kwa abiria, hususani nyakati hizi mabasi yanaanza safari saa 8 usiku.
Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba.
Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄
Tunazingua sana aisee
Nimeziona sehemu kadhaa hapa mjini. Nikajiuliza ndio nini hizo. Naona Troll JF ameeleza kwa kina, amesema hata bei za package zake zimesimama.
Leo Kibamba nimeona, jamaa wanauza vocha za jelo unatumia intaneti masaa 6 au buku ni kwa siku nzima, wanajiita Kicknet, nao nimeona wana kidish kama hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.