Recent content by Sajo

  1. Sajo

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Inaitwa Police General Order (PGO). Said Mwema ndiye aliyeifanyia marejeo na kuitoa kwa umma mwaka 2006.
  2. Sajo

    JamiiForums Tanzania Kimara “ Ukanda wa Gaza” Niaje Paleee, Vituo vya Mafuta Vimeota Tena Morogoro Road!

    Wanyama mafisadi wamerudi kwa kasi kutakatisha
  3. Sajo

    JamiiForums Tanzania Kimara “ Ukanda wa Gaza” Niaje Paleee, Vituo vya Mafuta Vimeota Tena Morogoro Road!

    Yaani kama pale Stop Over kituo cha mafuta kinajengwa pembeni ya yard ya TANROADS aisee
  4. Sajo

    JamiiForums Tanzania Kimara “ Ukanda wa Gaza” Niaje Paleee, Vituo vya Mafuta Vimeota Tena Morogoro Road!

    Barabara ya Morogoro maeneo ya Kimara “Ukanda wa Gaza” kuna jambo linachanganya kidogo Wakati wa JPM tuliambiwa waliojenga ndani ya mita 60 za barabara wavunje majengo yao. Nyumba zikabomolewa, hata vituo vingi vya mafuta vilivyokuwepo vilikula umeme. Lakini sasa mbona vituo vipya vya mafuta...
  5. Sajo

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa PEPMIS umechangia Watumishi 370 wa Halmashauri ya Jiji la Dar tusipandishwe daraja

    Nitafuteni twende mahakamani mpandishwe madaraja yenu. Haki haiombwi, INADAIWA. 0713368153
  6. Sajo

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Ruti ya Kibaha mnairudisha lini? Mlete hata mabasi yale ya zamani
  7. Sajo

    JamiiForums Tanzania Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

    Ila bifu la Makonda na GSM ni endelevu...wanatafutana mpaka kwa machawa wao. Mfano, ni kukatishwa kwa ubalozi wa BAKITA wa Eng. Hersi
  8. Sajo

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Alihakikisha PGO inakua uraiani, askari wajue utendaji wao wa kazi, na raia wafahamu mipaka na namna utakelezaji wa kazi za kipolisi unavyofanyika. Kabla ya hapo PGO ilikuwa imefichwa sana, na mpaka leo askari polisi bado hawaifahamu kabisa. Matokeo ndio vichekesho mahakamani wanapokutana na...
  9. Sajo

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nisaidie mimi mafua - etyaa Inauma mimi sana jamani - etyaa Nisaidie mimi mafua - etyaa Ni mbaya - etyaa Ni mbaya - etyaa Ngoma aliimba Mr. Ebbo inaitwa Mafua, ninaisaka sana hii wakuu
  10. Sajo

    JamiiForums Tanzania Mwana FA: Hoteli zetu hazitoshi wageni AFCON, tunataka kuhakikisha makazi binafsi yanaweza kuandikishwa yakatumika kama Airbnb

    🏡 KARIBU PENTHOUSE – MOSHONO LAIZER, ARUSHA 🏡 Unatafuta sehemu ya kisasa, tulivu na yenye hadhi kwa mapumziko au safari yako ya kikazi Arusha? Penthouse ndiyo chaguo sahihi kwako! ✨ 📍 Inapatikana Moshono Laizer, Arusha – kwenye barabara mpya ya Afrika Mashariki 🚍 Umbali wa kilometa 10 tu...
  11. Sajo

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Mkuu hizi taarifa za gharama ya iSt bila shaka ni za mwaka 2012 hivi. Tafuta gharama halisi za sasa uziweke hapo ili bandiko lake liwe na uhalisia. Usipunguze bei kimkakati.
  12. Sajo

    JamiiForums Tanzania Aliyegomea uteuzi wa Rais aburuzwa Mahakamani kwa Utakatishaji Fedha na wenzake. Je, ni kweli alitakatisha fedha au kuna kisasi?

    Ila hii heading ilifaa sana kutumika kwenye front page za Mwananchi, Majira na Nipashe leo. Imekaa unyama sana
  13. Sajo

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Sio kuwa kipindi hicho walikuwa wanaheshimu utawala wa sheria na mambo ya sovereignity, kwamba wasingeweza kufanya umafia kweupe hivyo. Sasq Mkuu wa Mkoa alichukuliwa hatua gani kwa kutoa amri mbovu hivyo?
Back
Top Bottom