Utapata 1/3 ya michango yako utayolipwa kama mshahara kwa miezi 6.Baada ya hapo ni kusubiri mpaka ufike miaka 60. Ukiona ngumu ishi kimjini mjini watu wakusovie mambo upate kibunda chote kamili.
Prof J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo...
Hapana mkuu, kwamba ilikua chini ya Halmashauri ninaona kama unajielekeza vibaya. Ilikuwa chini ya jeshi la Polisi na hata faini ya kukosa stika ya zimamoto ilikuwa inatozwa na jeshi la Polisi na sio Halmashauri.
Halmashauri zilikuwa zinanunua magari yao ya zimamoto pale pasipokuwa na idara ya...
Si lilikuwa ni idara ya Polisi kabla ya JPM kulifanya Jeshi Kamili, ili kuondoa mgogoro wa kugombea u-IGP kwa kina Chagonja na Andengenye na wenzao!!
Akampa Changonja u-RAS Katavi na Andengenye akampa ukuu wa Jeshi la Zimamoto ambako Andengenye alinunua vifaa vya kuzimia moto kwa fedha kubwa...
Ndio mirathi sumbufu hizo. Mkifa nyie watoto wa marehemu, wajukuu wanakuja wanaanza kusumbua, na uzingatie hamfi wote siku moja.
Sasa mfano huohuo, nyumba hazijaisha. Mmezimalizia kwa fedha ipi?? Mmetoa mifukoni mwenu au fedha ya marehemu?
Kulikua na ulazima gani sasa wa kufungua mirathi...
Ni uelewa mdogo ulionao mkuu. Maana ya mirathi ni kurithi mali za marehemu. Sijui kama inawezekana kurithi kitu ambacho bado kinaendelea kuwa cha marehemu.
Mirathi nyingi zipo za hivyo, watu hawafungi, na wala hawaigawanyi mali. Ni makosa, na mahakimu walipaswa kuzikataa fomu za hesabu za mali...
Wajibu wa mwanaume haubadiliki kulingana na mke aliyemuoa. Hilo no takwa la kiimani na hata kijamii (ki-afrika). Yeye awe Spika, au awe Rais wa nchi, haifanyi mwanaume uache majukumu yako. Tekeleza wajibu, ni ngumu sana kwa mwanamke kulalamika kuwa hashirikishwi kwenye kulipa bills
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.