Recent content by Sajo

  1. Sajo

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Kama ambavyo ndugu wa huyo nabii Tito hawatakubali ikiwa ndugu yao atapotezwa
  2. Sajo

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Hii nchi imejaa majizi tu. Yaani unalipia daraja? Mbona hatulipi kuvuka daraja la kikwete kule kigoma, daraja la ipogolo Iringa au daraja la ndodi kule majumba sita? Ilitakiwa tuwe tunapita bure, tunatozwa kodi mara mbili, barabara ni pamoja na madaraja.
  3. Sajo

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Kweli aisee, darajani kunaokoa muda igawa ni wizi tu, hata pale darajani tulipaswa kupita bure maana tunakuwa tushalipa kodi kwenye mafuta.
  4. Sajo

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Ni sherehe kwenye misiba wanayosoma eulogy na sio hii ya kwetu tunayosoma historia ya marehemu. Kwenye misiba yetu watu wanalia machozi mwanzo mwisho, sherehe gani ushaona watu wanalia yowe?? Kwetu msiba ni shida, ni huzuni. Tufariji wafiwa badala ya kuwaongezea mzigo na wasiwasi kuwa...
  5. Sajo

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Wakati wewe ndio inabidi uwalishe wafiwa😀
  6. Sajo

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Akikuuzia, unapitaje pale getini huku huna ID inayoendana na jina la kwenye tiketi?
  7. Sajo

    JamiiForums Tanzania Sintofahamu yaibuka siku moja baada ya mazishi, ndugu wadai mali za marehemu

    Wao kuwa na tamaa hakutabadilisha matakwa yako, kama wosia utakua umekidhi vigezo hata upingwe mpaka Mahakama ya Rufani, hautabatilishwa. Onana na wakili akuandalieni vyema wosia, ndio suluhu ya vurugu mechi kama hizi.
  8. Sajo

    JamiiForums Tanzania Sintofahamu yaibuka siku moja baada ya mazishi, ndugu wadai mali za marehemu

    Mkuu ukifa kiholela bila wosia huna uhakika wa familia yako kubaki salama, andika wosia wa pamoja, wewe na mkeo.
  9. Sajo

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Wameua kivuko Ferry ili Azam aweke boti zake, na aonekane anatoa msaada kwa wananchi kuvuka. Yaani biashara inaanzishwa kwa kuwa wateja wapo tayari, nauli ni Tshs. 500, waliotoa deal wakipewa hata Tshs. 100 tu katika hiyo ni mabilionea.
  10. Sajo

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Na Arusha hukohuko ndio kuna wafuasi wengi wa Chadema hao unaowaita maskini wa mali mpaka akili
  11. Sajo

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mafua - Mr. Ebbo huu wimbo nautafuta sana aisee
  12. Sajo

    JamiiForums Tanzania Dunia hii siwezi danganywa jambo nimeyapata maarifa sana kwa njia nyingi sana

    Yaani mimi mpaka leo sielewi undugu wa Jasusi Ben Membe na Jakaya Kikwete ni ndugu wa kuzaliwa, ni marafiki tu au vipi. Historia haijaandikwa vizuri na sisi watanzania wenyewe. Uraia wa JPM ulikuwa na mashaka kuwa ni Mnyarwanda. Sasa ishu hiyo si ilikuwa rahisi tu kwa kuangalia shule alizosoma...
  13. Sajo

    JamiiForums Tanzania EWURA - Vifurushi vya internet na muda wake

    Zote ni taasisi za serikali hizo, watashirikiana kupeana taarifa. Kwa tulipofikia hata ukipeleka malalamiko ya vifurushi vya internet DAWASA au Muhimbili National Hospital ni sawa tu😄😄.
  14. Sajo

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Umeongea point kubwa sana mkuu.
Back
Top Bottom