Mkuu, unapoongelea timu ya soka ya TRA ujue unaongelea wachezaji wa mpira, huwazungumzii makamishna wa kodi, huwazungumzii wanasheria wa mamlaka nk, kwa hiyo hata polisi hatuzungumzii staff ambao wanalazimishwa kuwa mapolisi kwa taaluma, eg daktari, mhasibu nk, sisi tunaongelea wale wanaosimamia...