Recent content by Sajo

  1. Sajo

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Hii itakuja kufidiwa na hao wadaiwa. Wamemsumbua sana mwamba
  2. Sajo

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Bado huwezi kuhoji, re-examination ni ufafanuzi tu. Hutakiwi kumuwekea shahidi maneno mdomoni
  3. Sajo

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    Hapa kuna kamtego kidogo, maswali ni ya dodoso kama ulivyosema (cross examination) wakati shahidi ni wa TAL ambaye kisheria hapaswi kumfanyia cross examination. Hapa tutamsubiri game changer atufundishe sheria kwa vitendo
  4. Sajo

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Nitafute, twende mahakamani. Haki ya kisheria, inadaiwa kisheria na sio kwa njia nyingine. Njoo tupambane na hao wadaiwa wako, upate haki yako. Nicheki DM au kwa 0713368153
  5. Sajo

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Mkuu, daktari ikiwa ana dharula anapaswa kufuatwa na gari la serikali (ambulance) ili afike hospitali na kumhudumia mgonjwa. Lakini madaktari wetu wanapambana, hawasubiri magari ya hospitali au ya wagonjwa yawafuate, wanatumia usafiri wao kuwahi makazini kuokoa uhai. Sasa wazo lako la kwamba...
  6. Sajo

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Anataka wawe kama Jamhuri ya kiislamu ya Iran, ambayo imefanya mazishi miezi karibu mitatu baada ya kifo cha Ayatolla.
  7. Sajo

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Hakuna polisi asiye wa idara ya upelelezi anayetimiza majukumu yake huku amevaa raba
  8. Sajo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Mkuu, unapoongelea timu ya soka ya TRA ujue unaongelea wachezaji wa mpira, huwazungumzii makamishna wa kodi, huwazungumzii wanasheria wa mamlaka nk, kwa hiyo hata polisi hatuzungumzii staff ambao wanalazimishwa kuwa mapolisi kwa taaluma, eg daktari, mhasibu nk, sisi tunaongelea wale wanaosimamia...
  9. Sajo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Inaangaliwa elimu aliyotumia kujiunga na hiyo kazi. Kiwango chake cha ufaulu wakati anaomba hiyo kazi. Waziri wao enzi za JPM, Simbachawene alisema huwezi kuajiri msomi kuwa polisi, hatakubali kubeba bunduki, kwa hiyo wanaajiri form four failures kwa kuwa ndio watu wanaoweza kutekeleza majukumu...
  10. Sajo

    JamiiForums Tanzania ND7GU YANGU WA DAMI AMESHAPOTEZA KUMBUKUMBU HANIKUMBUKI TENA. HOSPITALI WANASEMA NI TATIZO LA UBONGO; WHITE MATTER. Nifanye nini mwenzenu,

    Jibu lipo hapa. Wafanye jambo hilo kwa nguvu mara 3 zaidi
  11. Sajo

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Just a cosmetic thing with no legal effect or value.
  12. Sajo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Wafuate utaratibu upi, na kuanzia muda upi? Maana jamaa kashapigwa na kuumizwa akiwa mikononi mwa polisi, tayari utaratibu ulishavunjwa kitambo na hao polisi.
  13. Sajo

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    Kwa sheria ya Tanzania, ndoa ni ya serikali, hakuna cheti cha ndoa cha imani yoyote ile.l, wala hakuna imani inayoeleza kuwa lazima ipite BAKWATA, ni matokeo ya kukariri mambo ndio yanawapoteza watu. Taasisi zote za dini ni vyombo vya usuluhishi, haimaanishi kuwa waumini wa taasisi hizo ni...
  14. Sajo

    JamiiForums Tanzania Co-parenting Tanzania na Afrika: Kwa nini ni vigumu wazazi kulea watoto bila migogoro?

    https://www.instagram.com/reel/DRuqvxSDO-o/?stkn=MWo4aHpocTRxN3ZneQ==
Back
Top Bottom