Recent content by sajo

  1. sajo

    Barabara ya Morogoro Mlandizi Chalinze foleni ni kubwa Jiongezeni watumiaji

    Aisee, ina maana chuma za saa 9 usiku Dar to Mbeya zitakua zimeharibiwa sana ratiba.
  2. sajo

    Msaada wa namna ya kupata mafao yangu ya NSSF

    Utapata 1/3 ya michango yako utayolipwa kama mshahara kwa miezi 6.Baada ya hapo ni kusubiri mpaka ufike miaka 60. Ukiona ngumu ishi kimjini mjini watu wakusovie mambo upate kibunda chote kamili.
  3. sajo

    Namna Faza Nelly alivyouawa kwa kuchomwa visu 9

    Prof J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo...
  4. sajo

    Namna Faza Nelly alivyouawa kwa kuchomwa visu 9

    Album yao ya mwaka 1999/2000
  5. sajo

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Hapana mkuu, kwamba ilikua chini ya Halmashauri ninaona kama unajielekeza vibaya. Ilikuwa chini ya jeshi la Polisi na hata faini ya kukosa stika ya zimamoto ilikuwa inatozwa na jeshi la Polisi na sio Halmashauri. Halmashauri zilikuwa zinanunua magari yao ya zimamoto pale pasipokuwa na idara ya...
  6. sajo

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Kwa sasa, Thobias Andengenye ni mkuu wa mkoa wa Kigoma, yaani ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kigoma.
  7. sajo

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Si lilikuwa ni idara ya Polisi kabla ya JPM kulifanya Jeshi Kamili, ili kuondoa mgogoro wa kugombea u-IGP kwa kina Chagonja na Andengenye na wenzao!! Akampa Changonja u-RAS Katavi na Andengenye akampa ukuu wa Jeshi la Zimamoto ambako Andengenye alinunua vifaa vya kuzimia moto kwa fedha kubwa...
  8. sajo

    Waziri Nape Nnauye awateua Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Machi 21, 2024

    Wakasikilize kesi sasa dhidi ya Dstv kuhamisha hamisha channel kwenye vifurushi vyake bila taarifa wala makubaliano na mteja
  9. sajo

    Usimamizi wa mirathi

    Bakhresa ni kampuni. Pale watu watagawana hisa sio mali za kushikika. Au huenda tayari hata watoto wana hisa kwenye kampuni.
  10. sajo

    Usimamizi wa mirathi

    Ndio mirathi sumbufu hizo. Mkifa nyie watoto wa marehemu, wajukuu wanakuja wanaanza kusumbua, na uzingatie hamfi wote siku moja. Sasa mfano huohuo, nyumba hazijaisha. Mmezimalizia kwa fedha ipi?? Mmetoa mifukoni mwenu au fedha ya marehemu? Kulikua na ulazima gani sasa wa kufungua mirathi...
  11. sajo

    Usimamizi wa mirathi

    Ni uelewa mdogo ulionao mkuu. Maana ya mirathi ni kurithi mali za marehemu. Sijui kama inawezekana kurithi kitu ambacho bado kinaendelea kuwa cha marehemu. Mirathi nyingi zipo za hivyo, watu hawafungi, na wala hawaigawanyi mali. Ni makosa, na mahakimu walipaswa kuzikataa fomu za hesabu za mali...
  12. sajo

    Kabla hujakubali kuolewa ama kumuoa mtu, fanya naye maongezi marefu mjadiliane mambo ya msingi Kuhusu Maisha

    Wajibu wa mwanaume haubadiliki kulingana na mke aliyemuoa. Hilo no takwa la kiimani na hata kijamii (ki-afrika). Yeye awe Spika, au awe Rais wa nchi, haifanyi mwanaume uache majukumu yako. Tekeleza wajibu, ni ngumu sana kwa mwanamke kulalamika kuwa hashirikishwi kwenye kulipa bills
Back
Top Bottom