Recent content by sajo

  1. sajo

    Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Aisee, nilikuwa sielewi kama ni madawa. Kila napoonana na waamini wengi, lazima nisikie harufu ya hivyo - ya kukera. Kumbe ni dawa za kuongeza bahati
  2. sajo

    TTCL wazindua huduma ya fiber yenye kasi zaidi

    Ila naona sasa hivi wanafanya kampeni sana, wanalazimisha uunganishwe na fiber, kama imepita mtaani kwako unafungiwa siku hiyohiyo. Mimi natamani sana wafike mtaani kwangu aisee
  3. sajo

    TTCL wazindua huduma ya fiber yenye kasi zaidi

    DAR ES SALAAM: IN efforts to strengthen Tanzania’s communications infrastructure and expand access to reliable internet services across the country, the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL) has officially launched a new high-speed internet service dubbed “Faiba Supersonic Experience...
  4. sajo

    Paul Makonda atangaza Wizara yake imetenga Bilioni 50 ili kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu

    Mambo ya fedha za Wizara si ni mpaka Bajeti ijadiliwe na kupitishwa na bunge? Au sass hivi kila kitu kinaenda kwa maamuzi tu ya watu wachache? Mfano Kodi za magari na ushuru bandarini siku zote tunajua ni suala la kibajeti, bunge ndio linapitisha viwango na tozo, lakini sasa hivi kila siku kodi...
  5. sajo

    Upo kwenye hii list na hauna website. Basi unapoteza mamia ya wateja kila siku

    Lakini na wewe si unaweza kutengeneza portal kama hizo mkuu? Hii website yao kwenye simu haifunguki, ilhali kwa simu mtu ndio anakua na urahisi wa kuingia muda wowote
  6. sajo

    Upo kwenye hii list na hauna website. Basi unapoteza mamia ya wateja kila siku

    Hapa CMA ilipaswa wakutafute aisee maana https://eutatuzi.cma.go.tz/auth haifunguki kwenye simu.
  7. sajo

    Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Kaka wenye mabasi wanasema, wanalipa ushuru ila basi haliendi. Wewe utakwenda stendi kufanya nini? Wewe unakwenda ila basi haliji, unapanda mikweche isiyo na terminal zao
  8. sajo

    Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Pia ni hasara kwa halmashauri na wananchi wake, mfano kule Dodoma Nanenane abiria hawapendi kwenda, matokeo ni kuwa mabasi yamejenga stendi zao mjini. Stendi iliyojengwa kwa mabilioni haitumiki. Mfano Dar ile stendi ya Magufuli, mabasi ya Tanga, Arusha nk hayataki kuingia stendi yanaanzia...
  9. sajo

    Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Unakosolewa kuwa hazitumiki. Zipo mbali na miji, watu kuwahi hizo stendi asubuhi ni hatari sana kwa abiria, hususani nyakati hizi mabasi yanaanza safari saa 8 usiku.
  10. sajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba. Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄 Tunazingua sana aisee
  11. sajo

    Watumiaji wa Router za vodacom na tatizo la internet

    Nimeziona sehemu kadhaa hapa mjini. Nikajiuliza ndio nini hizo. Naona Troll JF ameeleza kwa kina, amesema hata bei za package zake zimesimama. Leo Kibamba nimeona, jamaa wanauza vocha za jelo unatumia intaneti masaa 6 au buku ni kwa siku nzima, wanajiita Kicknet, nao nimeona wana kidish kama hicho
Back
Top Bottom