Kutokana na kukosa muda wa kujichanganya na watu inaniwia vigumu kumpata mwenza wangu. Hivyo nimeamua kumtafutia jamvini.
Sifa zangu:
Nina umri wa miaka 39, sivuti sigara wala sinywi pombe ni muislamu, Elimu yangu ni chuo na ninafanya kazi. Nina watoto wawili wadogo ninaowapenda sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.