Nilijarbu kumwambia kwenye suala la ada,kiukweli anaonekana ni bahli sana! Mimi mwenyewe hayo yote siyafahamu kwa kwel,maana toka la kwanza hadi leo hii ninasoma Saint Kayumba,sasa kwa kweli watanisamehe!
Jamani wanajf,naamini wenyeji wa mwanza mpo na ndiyo mtakaonipa msaada wa dhati.Kuna mdogo wangu kafeli kidato cha nne,sasa nimepewa jukumu la kumtafutia shule ya kiislamu,O level na iwe Mwanza na gharama iwe chini ya Milioni! Naombeni mnisaidie wana jf,kama kuna mtu yupo anaijua na gharama zake...
believe me wakaka wanaojiheshim bado wapo.
Ukiwaweka kina kaka mia nikiwemo na mimi,utapata mmoja tu,au wakati mwingine usipate kabisa mwenye sifa hiyo! Kitu kimoja ngoja nikuambie,siku hizi mambo si kama zamani! Kuna rafiki yangu alikuwa na msimamo sawia na ule wa demu wake,yaani wa_keep...
Sijawah kuona toka nianze kusoma! Ni juzi tu hapa Shy nilimfuatia dogo joining yake,ni bure kabisa tena hadi sample ya kitambaa wanabandika kwenye hyo karatasi na wanakuomba uwaambie na wengine wawahi kuchukua hizo form! TANZANIA BILA WIZI,HAIWEZEKANI
very fantastic expressions! Nilipitia but i was just scanning! Kumbe ndio maana watanzania tunashindwa kupanua wigo wa maarifa kwa sababu huwa hatutaki kusoma na tukisoma basi ni juu juu sana! Nimependa sana maelezo yako tena they are more scientific! Ngoja niku_PM unishauri kitu.
Asalam alayqum,
wadau,pamoja na kuwa nilitoa kama hoja katika moja ya uzi hapa,nimeona ni vyema niliweke liwe swali la kujitegemea,hivi vipimo vya VVU(HIV) vinauwezo wa kubaini vvu vyenye muda gani mwilini? Mfano,leo nimeambukizwa,inachukua muda gani hadi vipimo vionyeshe uathirika wangu...
Mwenyewe ningekujibu lakini rejea kubwa ni Kato pamoja na nyambari na kwa kuwa umewadharau,sina budi kukaa pembeni! Jaribu pia kumsoma Rodney,W.ktk kitabu chake cha HOW EURORE UNDERDEVELOPED AFRICA.halafu acha dharau,mwenyewe bado hata hujafikia hatua ya kuandika hata kitabu lakini unakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.