Recent content by Sailortwo

  1. S

    Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Korona ipo Tanzania na wagonjwa wapo na hospitali wananongona kwa hofu kuwa serikali haitaki ifahamike kuwa corona iko nchini. Tuchukue tahadhali ama tutakwisha kimya kimya.
  2. S

    Hakuna tatizo miradi mikubwa ya kimkakati kuelekezwa Chato

    Hakuna ubishi kwamba Chato. Hata hivyo chato imekuwepo miaka yote hata kabla rais Magufuli hajazaliwa. Tofauti inayojadiliwa ni upendeleo wa waziwazi inayopewa chato kwa kuwa rais Magufuli anatoka hapo. Jambo la msingi ni kutomfanya rais aonekane anapendelea Kwao. Magufuli ana kwao, lakini urais...
  3. S

    CCM, elimu bure iko wapi?

    Tatizo la serikali ya awamu ya tano ni kushindwa kueleza/ kutafasili sera zake kwa wananchi. Serikali inajua haiwezi kujenga madarasa yote nyumba zote za waalimu na madawati kwa wanafunzi wore wa msingi na sekondari bila msaada au mchango toka kwa jamii. Serikali hi ina mambo mawili (1)...
  4. S

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Anae himiza tumpigie kura rais Magufuli awe kiongozi bora wa kisiasa Africa atushawishi anazo sifa. Zipi na mashindano hayo yana vigezo vipi vinavyoshindanishwa. Bila kujua vigezo tunalinganisha nini na nani.
  5. S

    "Tanzania yatoa msaada kwa Mataifa ya Ulaya na Marekani" hapa sasa ndiyo ngoja niseme

    Hivi karibuni Marekani wametoa $ 900 bn kuwasaiadia watu Wao walioathirika kiuchuni tokana na ugonjwa wa corona, Sawa na makusanyo ya tra kwa Milka 10. Sasa Marekani waje kuomba msaada gain toka hapa Tanzania ? Hata hivyo hakuna sheria inayozuia kuota.
  6. S

    Serikali ya Tanzania yataka majibu ya corona ndani ya saa 24

    Anaeficha ugonjwa kilio kitamuumbua, wagonjwa wa korona wapo hospitali Hapa Dar. Kama ulipungua na sasa umerudi tuseme na tuushughulikie kuliko kuficha
  7. S

    Spika Ndugai awataka vijana kubadili fikra kuhusu ajira

    Hoja ya vijana kujiajiri ni ya msingi, lakini iko wapi sera ya kuwawezesha vijana kujiajiri,
  8. S

    Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

    Kugombea urais siyo lazima uwemo katika baraza la mawaziri. Tusianze utabiri mapema hivi tusije tukasababisha hata huo uwaziri ukapotelea njiani.
  9. S

    Jaji Warioba aishangaa Tume ya Uchaguzi kwa kitendo cha kuengua Wagombea wa Vyama mbalimbali vya upinzani bila kufuata utaratibu

    Pamoja na kwamba maji yakimwagika hayazolewi, lakini kauli ya mzee warioba kuhusu madudu ya Tume ya uchaguzi katika uchaguzi uliopita inasitahili Kuungwa Mkono na wazalendo wa kweli wa nchi yetu. Nadhani ni busara tukajadili Hoja badala ya Mtoa hoja.
Back
Top Bottom