Recent content by SaiGonE

  1. S

    Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Ujinga wao unatoka wapi?? Tumefanya international legal contract na wao. Kama sie tulisaini bila kuelewa tunasaini nn sie ndo wajinga
  2. S

    Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Sasa utashinda vipi kesi hapo mkuu??
  3. S

    Inakuwaje Adam Malima kutetewa na Wakili Kibatala?

    Kibatala ndo kazi aliyosomea...
  4. S

    Mwanamke anaweza kufika kileleni mara tatu mfululizo!!

    Watu wenye taaluma & vyeti vyao...hawalii kabisaaa
  5. S

    CHADEMA yatoa msimamo juu ya sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

    Acha kupanic mkuu...wahenga wanasema Mchuma janga hula na nduguze.... Hivyo acheni kupanic kuleni tu Bashite hilo janga
  6. S

    CHADEMA yatoa msimamo juu ya sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

    ::Mh. Rais atoa tamko kuhusu shutuma za ujambazi wa kutumia silaha zinazomkabili Daudi Bashite :: Mh. Tundu Antiphas Lissu, Rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika ametoa tamko [emoji116] Waheshimiwa wananchi wa Tanzania. Nimesikia taarifa za kuvamiwa kwa kituo cha habari cha Clouds Media...
  7. S

    Zikithibitika tuhuma dhidi ya Makonda, Rais atapaswa kuwajibika pia

    Hivi kuna watu wanabisha kuhusu 0 ya Bashite form 4???
  8. S

    Zikithibitika tuhuma dhidi ya Makonda, Rais atapaswa kuwajibika pia

    Kwa hiyo ulitaka matokeo yapi??
  9. S

    Zikithibitika tuhuma dhidi ya Makonda, Rais atapaswa kuwajibika pia

    Kwani hayo siyo matokeo? Basi necta wakanushe hiyo namba ya utahiniwa.
Back
Top Bottom