Ndugu zangu naomba anaefahamu bei ya mashine ya kutengenezea juisi ya miwa inayotumia umeme mpya jina bei gani na mtumba ina bei gani naomba mawasiliano kupitia 0744230251
Ndugu zangu naomba connectio ya sehem gan wanapouza pembe za ng'ombe,ngozi, kwato pamoja na uume wa ng'ombe nina mtaji wa milion mbili naitaji nifanye hiyo biashara naomben msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.