Masele aunganisha mawaziri wa madini Afrika kupambana na unyonyaji na utoroshaji wa madini.
Akihutubi katika mkutano Masele alisema "lazima bara la Afrika liwe na msimamo mmoja dhidi ya rasilimali za Afrika ili tujitegemee kibajeti na maendeleo ya nchi zetu.Tutategemea mataifa ya nje mpaka...
jamani jamani jamani we mahamud jaman chodola anatakiwa awambie mnec wa arusha mjini mwalusamba anunuliki amejitosheleza sana yupo kwa ajili ya nchi yake na taifa lake wanatakiwa wafaham ilo very soon na wakubaliane na ukweli watafute mambulula nasikia ili uwe kundi ilo lazima uwe mtu wa yes and...
Kituo cha police na ofisi ya afisa tarafa Bumbuli vyaharibiwa vibaya na wafuasi wa lambalamba.
Mkuu wa wilaya ya Lushoto ndg. MAJIDI MWANGA amewachukulia hatua kali wafuasi wa lambalamba ili kukomesha tabia za wafuasi hao wa lambalamba, 32 wafikishwa mahakamani.
DC wa Lushoto ndg. Majidi Mwanga kweli ni mwanamichezo, leo nimeshanga akiwa katika mazoezi na vijana mbalimbali wa chuo kikuu cha sekomu na chuo cha mahakama IJA na baadhi ya askari mchanganyiko na vijana wa mtaani katika kiwanja karibu na kituo cha police.
Sio rahisi kwa viongozi wetu...
unajua ndg yangu hata mungu apendi kumsingizia mtu huongo na fitina sasa izo zako ni fitna ndg mi namjua dc vizuri sana kuliko wewe wa kucop na kupaste jamani vingine havi paste ndg minisijo usifute mkumbo
Haumjui dc wewe mkuu wa wiliaya hajawahi kusoma umbwe amesoma aleve old moshi shule waliosoma viongoz kama kina msuya .usidanganye watu ujinga wako endelea kubaki nao ukusaidi wewe lakini sio sisi pole sana
Kuwekwa ndani kwa mganga ni sawa anaonea watumishi wa hospitali ataandamana yeye na katibu wake wa hospitali na pia miaka mingi hakuna bodi ya ya hospitali na mkurugenzi anajua wa lushoto anajua ukosefu wa dawa malipo extaduty na malimbikizo ya manessi ,madereva na waganga hayashughulikiwi...
Kuwekwa ndani kwa mganga ni sawa anaonea watumishi wa hospitali ataandamana yeye na katibu wake wa hospitali na pia miaka mingi hakuna bodi ya ya hospitali na mkurugenzi anajua wa lushoto anajua ukosefu wa dawa malipo extaduty na malimbikizo ya manessi ,madereva na waganga hayashughulikiwi...
Watumishi wamezoa kusukumwa kama kondoo sisi watu wa lushoto mfano kiongozi wa upinzani ndg kisandu amecoment na kupongeza juhudi za dc hata jana dc katoa set ya jezi ya timu ya vijana wa boda boda au pikipiki huwambii chochote juu ya dc ni best yao sana.dc tupo pamoja
Mrisho gambo endelea kufanya kazi kaka unasifa za kuwa kiongozi hayo ni maneno tu ya watu ila najua unajielewa unafanya nini katika wilaya yako ya korongwe safi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.