Mtungi una expire date, wanakuwa wanaificha, kwa kupaka rangi, na pia mtungi uliochoka hautakiwi kutumika. Wao wanabandika sticker kuonyesha muda wao wa ku expire world safety hairuhusu hiyo..
Kaka achana na gharama sijui 1.3/1.4 za mitaani , ambao watu wanafunga kwa mitungi iliyotumika na kuipaka rangi ionekane mipya, na kuweka sticker zao ..sisi tunafunga brand new kwa 1.5m
Hizi tAARIFA CYO ZA KWELI KWASBB DANGOTE AMERUHUSIWA KUTUMIA GESI WALA CYO MUDA, LABDA NI MADEREVA TU AMBAO SASA HIVI HAWAUPENDI HUU MFUMO KWASBB UMEWABANA KUIBA MAFUTA KWAHIYO WANAUCHUKIA HATARI SANA.
PILI , DANGOTE ANASHITAKIWA KAMA INGEKUWA HIVO, KWASBB KWANZA GARI ZAKE ZIMEKAGULIWA NA WAO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.