Ok, nawish kusoma degree ya technical education ambao msingi wake ni phy,math & Chen.Naomba kujua kama masomo n hayoo coverage yake inakua n ileile kam ya A- level au tofaut,ili nianze maandaliz mapema?
Msaada wakuu,Nina G.P.A ya 2.9 diploma ya phy & Math,nawish kujiunga na foundation ili kuweka mamb sawa,Coverage ya hiyo foundation kozi niliambiwa ni masomo sita, compulsory ni(Ds,ICT & CL) hayo mengine n yepi?
Hlw guys, naomba kwa mwenye vitabu vya adnce science softcopies anitumie please (PCM/PCB) Chochote ktk hivyo hasa chand 1 ya phz.
Email.binbond300@gmail.com
P1 xn Mkuu,napambn ofkoz Nina garage but haijasajiliw ktk requirement za kuisajil wanatak minium requirement uwe holder wa degree ya mech au automobile days why nkafkiria kurud shule mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Helow guyz naomba wajuzi mnisaidie, nimemaliza Diploma ya Mechanical Engineering nikiwa na GPA 2.9.
Naweza kujiendeleza kwa ngazi ya Bachelor kwa ufaulu huo?
In some extent nakubaliana nawe but kwaupande mwingine sikubaliani nawe, Vigezo vya kujiunga na chuo kinachotoa kozi za ufundi Tz hii ni Ufaulu wa kidato cha nne na hususan ni kwa wale wenye misingi ya ufundi au walopitia veta na kigezo chengine ni ufaulu wa kidato cha sita usiozidi daraja la 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.