Recent content by SaidAlly

  1. SaidAlly

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Nimependa mchango wako. Huja beza wala kukashifu au kutukana. Umeongeza maarifa na kutufungua wengine ambao hatukujua haya. Hongera kwa muanzisha uzi, ni sehemu ya kupata maalifa na kujifunza. Michango ikitolewa pasipo hisia hasi ni mada nzuri sana kuisoma na kujifunza.
  2. SaidAlly

    Nina swali kwa Wafugaji wa Kuku

    Hiyo app ni free au ya kulipia??
  3. SaidAlly

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Salaam wana Uzi! Nini kimetokea mbona kama uzi umesuswa ghafla na kimya kimetanda kwema jamani?? Simba upo??
  4. SaidAlly

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    😂😂😂😂😂 Wee jamaa una majibu hadi nimeshindwa kuvumilia. Ni kama utani vile lakini ukituliza akili na kutafakari kwa utuo unapata jibu. Salute kwako!
  5. SaidAlly

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Khaaaa......!? Uandishi wako sijui kati ya wewe na Pro. Shivji nani ni mwalimu wa mwenzie au kama mlisoma shule moja basi nani alifaulu kumzidi mwenzie?? Tuseme mlisoma shule moja au elimu inayofanana sasa nini kiliwapeleka huko na na nani alikipata kati yenu??!! 😂😂😂😂😂😂
  6. SaidAlly

    Bwana Mh Rais mwachie Lissu, tunachoshana.

    Hakika umechoshwa....😂😂😂😂
  7. SaidAlly

    Mtoto wa marehemu John Komba amshauri mtoto wa Ndugai... CCM sikieni

    Umeweka vizuri sana hiyo summary ya makundi. Kwenye kundi la tatu, ongezea. Wananufaika kwa kufahamiana na kundi la pili na kidogo sana kundi la kwanza. Hawa huendesha maisha yao kupitia makundi hayo mawili kupata chochote kitu kupitia connections.
  8. SaidAlly

    Kwa wataalaamu wa ufugaji, Banda hili linaweza kuleta tija kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara?

    Kuku hawaji na furniture wala vyombo vya kupikia jikoni na majiko. Kama wa Kienyeji ufugaji mzuri ni wanatoka nje asubuhi kwenda kukutana na riziki mbalimbali humo wanarudi kulala tu jioni au muda wa kutaga Kwahiyo kwa muonekano humo hata 200 wanakaa ila sasa arrangment ya hizo shelves sio...
  9. SaidAlly

    Je, ni maamuzi gani unaweza kuchukua baada ya kutofautiana kidogo na mwenza wako, kisha kwa hasira akakuambia kuwa huoni umuhimu wake

    Inaweza kuwa hasira tu ili ikuume. Inategemea chanzo cha ugomvi ni nini. Jibu hilo linaweza kuwa kama silaha kwake ili nawe uumie maana raha ya ugomvi kuumizana. Cha msingi hapo, kama bado unamuhitaji basi tatua chanzo cha ugomvi myamalize then kila kitu kitakuwa sawa. Kama umemkosea au...
  10. SaidAlly

    KWELI PreGE2025 video hii ikimuonesha Raisi Samia akitoka nje ya mkutano mkuu ili wajumbe wa mkutano wammpigie kura

    Nashangaa! Mkutano ulikua live kila kitu kilionekana. Na hapo kwy JamiiCheck mbona hawasemi ilikuwa wapi??
  11. SaidAlly

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No Reform-No Election
  12. SaidAlly

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    When the student is ready, a teacher will appear. When the student is really ready, the teacher will disappear. [emoji3][emoji3]
  13. SaidAlly

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kiujumla story ni nzuri sana tu inaburudisha. Sema nawasifu baadhi ya wasimuliaji wa hapa JF akiwemo huyu kwa uwezo wao wa kumbukumbu hasa - majina ya siku, muda uliotumika toka sehemu moja kwenda nyingine. Kufika sehemu au kupokea simu saa flani na dkk flani. Muda uliotumika kumsubiri mtu na...
  14. SaidAlly

    Mbona timu haijapoteza mechi?

    Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23] Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa...
  15. SaidAlly

    Beatrice Mwaipaja

    Jinga sana wewe [emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom