Recent content by SaidAlly

  1. SaidAlly

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    When the student is ready, a teacher will appear. When the student is really ready, the teacher will disappear. [emoji3][emoji3]
  2. SaidAlly

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kiujumla story ni nzuri sana tu inaburudisha. Sema nawasifu baadhi ya wasimuliaji wa hapa JF akiwemo huyu kwa uwezo wao wa kumbukumbu hasa - majina ya siku, muda uliotumika toka sehemu moja kwenda nyingine. Kufika sehemu au kupokea simu saa flani na dkk flani. Muda uliotumika kumsubiri mtu na...
  3. SaidAlly

    Mbona timu haijapoteza mechi?

    Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23] Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa...
  4. SaidAlly

    Beatrice Mwaipaja

    Jinga sana wewe [emoji23][emoji23]
  5. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Imekuchoma?? Ukweli mchungu pole sana [emoji3][emoji3][emoji3]
  6. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Kwasababu umesema hata wewe mwenyewe huelewi, ngoja basi nijaribu kuzoom kwa kutumia miwani yangu ya fundi saa kama itakusaidia kufanya maamuzi. 1. Kuwa mbali huyo wa kwanza kumetoa gap la huyo wa pili kuibuka. Kama angekuwepo sidhani ungekua kwy huu mkanganyiko 2. Wa kwanza inaonekana unakua...
  7. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Yes, tunaipaka rangi kupambana nayo kwa ustaarabu wa kijamii lakini tunashindwa kwa ushahidi wa visa vya kila siku (kufumaniwa, ukahaba, machangu, hongo ya ngono, etc). Mapadri kila siku wanaanguka...
  8. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    That's obvious, ustaarabu katika jamii huwa tunatambulisha mwenza mmoja (in majority) hiyo haimaanishi ndio tunafumba macho kabisa - that's nature.
  9. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Nimeshangaa kidogo hapo unaposema unawapa nafasi sawa - hakunaga kitu kama hicho kwy mapenzi coz they're not equal may be similar. Unless kama kuna vitu vya kimaisha vimekuchanganya hapo na kukupotezea focus hadi uone wako sawa. Iko hivi; Kama una wapenzi wawili unatakiwa ufanye maamuzi ya kuwa...
  10. SaidAlly

    Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

    Hajatajwa wakati picha yake ilikuwepo ukutani pamoja na marais wengine waliopita. Isitoshe zimetolewa tuzo mbili tu kwa marais waliofanikisha uwepo wa hiyo ikulu. Kapewa Nyerere na Magufuli tu. Sijui watu walitaka nini zaidi ya hapo? Ukisikiliza historia ya hiyo ikulu ambayo JK aliwahi pia...
  11. SaidAlly

    Siri ya mafanikio ni kuwa na Imani

    Nakubaliana na wewe kabisa. Maana hata huko mahospitalini, kwenye maombezi kote huko inatamkwa pamoja na yote wayafanyayo, msingi wa mafanikio ya kile wanachokitarajia ni Imani. Changamoto inakuja; 1. Jinsi ya kuweza kuipata hiyo imani thabiti. 2. Namna gani sasa mtu anaweza kupima kwamba...
  12. SaidAlly

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Nime uninstall app iliyokuwepo ambayo ni latest, nika install hiyo aliyotuma kwy link. Yes, inafungua baadhi ya picha moja kwa moja kuliko iliyokuwepo. Ile kufungua picha ilikua mtihani kama kukombeleza kopo la colgate ikiisha.
  13. SaidAlly

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Hili tatizo la wengi rumekua tukigugumia kimya kimya kwa kufikiri ni uzembe wa simu zetu tu. Umetuokoa wengi asante, japo bado changamoto ipo baadhi ya picha hazifunguki mpaka itoke na kuongia tena mara kadhaa.
  14. SaidAlly

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Nafikiri kwa sisi wanaume ukioa na ukawa unampenda mkeo, basi usimchunguze wala kumfuatilia kama ana cheat. Na usithubutu kumfumania, kama humuamini bora umuache tu lakini usijaribu kumfumania. Maumivu ya kufumania kwa wanaume huwa hayaishi na ni sumu mbaya sana. Usiharibu furaha ktk maisha...
  15. SaidAlly

    FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

    Wachaga wengi wenye maduka (Kwa mangi) wana redio iko tuned Radio Maria muda wote unaweza sema utakatifu ndio huu sasa, cha ajabu ktk kila kilo moja ya unga, mchele, sukari na mafuta ya kupikia lazima anapiga kiasi fulani na hicho anachopiga ndio anakula yeye unakuta mara nyingi wanapikia...
Back
Top Bottom