Nimependa mchango wako.
Huja beza wala kukashifu au kutukana.
Umeongeza maarifa na kutufungua wengine ambao hatukujua haya.
Hongera kwa muanzisha uzi, ni sehemu ya kupata maalifa na kujifunza.
Michango ikitolewa pasipo hisia hasi ni mada nzuri sana kuisoma na kujifunza.
Khaaaa......!?
Uandishi wako sijui kati ya wewe na Pro. Shivji nani ni mwalimu wa mwenzie au kama mlisoma shule moja basi nani alifaulu kumzidi mwenzie??
Tuseme mlisoma shule moja au elimu inayofanana sasa nini kiliwapeleka huko na na nani alikipata kati yenu??!!
😂😂😂😂😂😂
Umeweka vizuri sana hiyo summary ya makundi.
Kwenye kundi la tatu, ongezea. Wananufaika kwa kufahamiana na kundi la pili na kidogo sana kundi la kwanza. Hawa huendesha maisha yao kupitia makundi hayo mawili kupata chochote kitu kupitia connections.
Kuku hawaji na furniture wala vyombo vya kupikia jikoni na majiko. Kama wa Kienyeji ufugaji mzuri ni wanatoka nje asubuhi kwenda kukutana na riziki mbalimbali humo wanarudi kulala tu jioni au muda wa kutaga Kwahiyo kwa muonekano humo hata 200 wanakaa ila sasa arrangment ya hizo shelves sio...
Inaweza kuwa hasira tu ili ikuume.
Inategemea chanzo cha ugomvi ni nini. Jibu hilo linaweza kuwa kama silaha kwake ili nawe uumie maana raha ya ugomvi kuumizana.
Cha msingi hapo, kama bado unamuhitaji basi tatua chanzo cha ugomvi myamalize then kila kitu kitakuwa sawa.
Kama umemkosea au...
Kiujumla story ni nzuri sana tu inaburudisha.
Sema nawasifu baadhi ya wasimuliaji wa hapa JF akiwemo huyu kwa uwezo wao wa kumbukumbu hasa - majina ya siku,
muda uliotumika toka sehemu moja kwenda nyingine.
Kufika sehemu au kupokea simu saa flani na dkk flani.
Muda uliotumika kumsubiri mtu na...
Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.