Hakika umeyatafakari kwa kina sana mambo haya. Asante kwa kutushirikisha mtazamo wako umetufungulia mlango mwingine wa kuyatafakari mambo haya kwa angle nyingine pia. Asante sana.
Anza kwa kutomuwazia mabaya mwenzio.
Ni rahisi sana ukiwaza jambo baya likatokea tofauti na kuwaza jambo jema.
Usimfuatilie, sisi wanaume ukitufuatilia ndio inakua kama umetupaka asali kila mwanamke anatutaka.
Lakini kama hutufuatilii, hata tukichepuka huwa tunajishtukia na kujihukumu wenyewe...
Nilifikiri lengo la uzi huu ni kujadili tumefikaje hapa na tutokaje.
Kumbe ni fursa za Wamajalalani kama kawaida yao. Haya vumisha ngoma usikike wakukumbuke.
Swali kwako, ufisadi wa Lowasa ulithibitika au ilibakia kuwa maneno tu??
Pia kwanini unazunguuka sana mbuyu na kushindwa kusema viongozi wa ccm ndio wametufikisha hapa tulipo??
Nakubaliana kabisa na wewe khs mmomonyoko wa maadili kwa viongozi hasa kwy kujilimbikizia mali na ccm kuachana na...
Umeongea kitu muhimu sana kwenye maisha.
Unajua, kwa mtu yeyote yule aliye staarabika kuomba msaada hasa wa kujikimu huwa ni mtihani mkubwa sana.
Kuna watu wengi wanacheka na kutabasamu lakini wanapitia changamoto kimya kimya. Kuomba msaada wa kuishi ni jambo linalohitaji kujitoa ufahamu...
Inawezekana ikawa kweli kukurupuka ila sifikiri hivyo.
Tatizo la hao walioko kwenye madaraka wanajiona wao ndio final na wananchi ni watumwa wao hawawajali hata kuwaogopa kabisa.
Mfano fikiria, mbunge (spika wa sasa) anaishauri serikali kuongeza tozo kwy line ya simu ikiwa kama mbinu ya...
Ndugu Pascal Mayalla
Hongera kwa kushauri mapema kabisa kuhusu hili jambo.
Wengi wenye heshima, elimu, busara na hekima toka ndani ya nchi na hata nje nchi. Individuals, taasisi mpaka nchi na jumuiya mbalimbali zimeshauri sana kuachana na hii mambo.
Najiuliza, pia nisaidie kutafakari haya;
1...
Mzee Msham anaonekana alikua na umri mkubwa kumzidi Mwalimu Nyerere. Pia kutakua na wazee wakati huo walikua wakubwa kuliko Mwl. Nyerere maana anaonekana alikua bado kijana kabisa.
Ikiwa sasa Mwl. Nyerere anatambulika kama Baba wa Taifa, hao wazee wataitwaje? Au ndio Mababu zetu??
Hivi kutakua...
Aisee.....!!
Siamini kama Baba Omary huyu huyu kakufanyia hivyo hapo ofisini kwake.
Malipo hapahapa duniani Baba Omary utajuta nakwambia. Imeandikwa mpende jirani yako lakini Baba Omary unaleta maringo kisa laki saba?? Tutaona sasa.
Asante kwa majibu yako.
Kimsingi nakubaliana na hoja zako hapo juu na sipongani nazo.
Kuhusu kuwahi kwako kwenda Ikulu sikumaanisha uwe umefika kiuhalisia (mwenyewe sijawahi na sio mwanahabari) ila nilitaka uvae viatu vyake Ndugu Pascal Mayalla kwa muda ule. Bahati nzuri umeielezea tena hali...
Naomba nikuulize kidogo unaposema Pascal sio jasiri kwa kumuuliza swali lile jpm na angeongeza follow-up question:
1. Umewahi fika Ikulu na kuongea na Rais?
2. Umewahi kumuuliza swali Rais hadharani?
3. Umewahi kumuuliza follow-up question Rais na ukiwa umeona dalili zote kwamba hakufurahishwa...
Asante kwa kunielewa hivyo.
Binafsi huwa nasoma na kutafakari vitu kwa uelewa wangu pasipo kufuata mkumbo.
Nimekua mfuatiliaji na mpenzi wa kusoma kile unacho andika na ni kiri una andikaga vitu fikirishi ambavyo ni chakula kizuri cha kuufanya ubongo ufanyekazi yake ya kufikiri.
Kidogo huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.