Kiujumla story ni nzuri sana tu inaburudisha.
Sema nawasifu baadhi ya wasimuliaji wa hapa JF akiwemo huyu kwa uwezo wao wa kumbukumbu hasa - majina ya siku,
muda uliotumika toka sehemu moja kwenda nyingine.
Kufika sehemu au kupokea simu saa flani na dkk flani.
Muda uliotumika kumsubiri mtu na...
Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa...
Kwasababu umesema hata wewe mwenyewe huelewi, ngoja basi nijaribu kuzoom kwa kutumia miwani yangu ya fundi saa kama itakusaidia kufanya maamuzi.
1. Kuwa mbali huyo wa kwanza kumetoa gap la huyo wa pili kuibuka. Kama angekuwepo sidhani ungekua kwy huu mkanganyiko
2. Wa kwanza inaonekana unakua...
Yes, tunaipaka rangi kupambana nayo kwa ustaarabu wa kijamii lakini tunashindwa kwa ushahidi wa visa vya kila siku (kufumaniwa, ukahaba, machangu, hongo ya ngono, etc). Mapadri kila siku wanaanguka...
Nimeshangaa kidogo hapo unaposema unawapa nafasi sawa - hakunaga kitu kama hicho kwy mapenzi coz they're not equal may be similar. Unless kama kuna vitu vya kimaisha vimekuchanganya hapo na kukupotezea focus hadi uone wako sawa.
Iko hivi;
Kama una wapenzi wawili unatakiwa ufanye maamuzi ya kuwa...
Hajatajwa wakati picha yake ilikuwepo ukutani pamoja na marais wengine waliopita.
Isitoshe zimetolewa tuzo mbili tu kwa marais waliofanikisha uwepo wa hiyo ikulu. Kapewa Nyerere na Magufuli tu. Sijui watu walitaka nini zaidi ya hapo?
Ukisikiliza historia ya hiyo ikulu ambayo JK aliwahi pia...
Nakubaliana na wewe kabisa.
Maana hata huko mahospitalini, kwenye maombezi kote huko inatamkwa pamoja na yote wayafanyayo, msingi wa mafanikio ya kile wanachokitarajia ni Imani.
Changamoto inakuja;
1. Jinsi ya kuweza kuipata hiyo imani thabiti.
2. Namna gani sasa mtu anaweza kupima kwamba...
Nime uninstall app iliyokuwepo ambayo ni latest, nika install hiyo aliyotuma kwy link. Yes, inafungua baadhi ya picha moja kwa moja kuliko iliyokuwepo. Ile kufungua picha ilikua mtihani kama kukombeleza kopo la colgate ikiisha.
Hili tatizo la wengi rumekua tukigugumia kimya kimya kwa kufikiri ni uzembe wa simu zetu tu.
Umetuokoa wengi asante, japo bado changamoto ipo baadhi ya picha hazifunguki mpaka itoke na kuongia tena mara kadhaa.
Nafikiri kwa sisi wanaume ukioa na ukawa unampenda mkeo, basi usimchunguze wala kumfuatilia kama ana cheat. Na usithubutu kumfumania, kama humuamini bora umuache tu lakini usijaribu kumfumania.
Maumivu ya kufumania kwa wanaume huwa hayaishi na ni sumu mbaya sana. Usiharibu furaha ktk maisha...
Wachaga wengi wenye maduka (Kwa mangi) wana redio iko tuned Radio Maria muda wote unaweza sema utakatifu ndio huu sasa, cha ajabu ktk kila kilo moja ya unga, mchele, sukari na mafuta ya kupikia lazima anapiga kiasi fulani na hicho anachopiga ndio anakula yeye unakuta mara nyingi wanapikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.