Recent content by SaidAlly

  1. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Hakika umeyatafakari kwa kina sana mambo haya. Asante kwa kutushirikisha mtazamo wako umetufungulia mlango mwingine wa kuyatafakari mambo haya kwa angle nyingine pia. Asante sana.
  2. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Anza kwa kutomuwazia mabaya mwenzio. Ni rahisi sana ukiwaza jambo baya likatokea tofauti na kuwaza jambo jema. Usimfuatilie, sisi wanaume ukitufuatilia ndio inakua kama umetupaka asali kila mwanamke anatutaka. Lakini kama hutufuatilii, hata tukichepuka huwa tunajishtukia na kujihukumu wenyewe...
  3. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Nilifikiri lengo la uzi huu ni kujadili tumefikaje hapa na tutokaje. Kumbe ni fursa za Wamajalalani kama kawaida yao. Haya vumisha ngoma usikike wakukumbuke.
  4. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Swali kwako, ufisadi wa Lowasa ulithibitika au ilibakia kuwa maneno tu?? Pia kwanini unazunguuka sana mbuyu na kushindwa kusema viongozi wa ccm ndio wametufikisha hapa tulipo?? Nakubaliana kabisa na wewe khs mmomonyoko wa maadili kwa viongozi hasa kwy kujilimbikizia mali na ccm kuachana na...
  5. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Kuna Watu Wanahitaji Msaada, Ila Hawajui Namna Ya Kuomba Bila Kujidhalilisha

    Umeongea kitu muhimu sana kwenye maisha. Unajua, kwa mtu yeyote yule aliye staarabika kuomba msaada hasa wa kujikimu huwa ni mtihani mkubwa sana. Kuna watu wengi wanacheka na kutabasamu lakini wanapitia changamoto kimya kimya. Kuomba msaada wa kuishi ni jambo linalohitaji kujitoa ufahamu...
  6. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Inawezekana ikawa kweli kukurupuka ila sifikiri hivyo. Tatizo la hao walioko kwenye madaraka wanajiona wao ndio final na wananchi ni watumwa wao hawawajali hata kuwaogopa kabisa. Mfano fikiria, mbunge (spika wa sasa) anaishauri serikali kuongeza tozo kwy line ya simu ikiwa kama mbinu ya...
  7. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Kama HII Sauti ni yake YEYE Mwenyewe na Aliyepangiwa, kwenye Sauti Hiyo ni Huyu Mhaini. Namshauri DPP Do The Needful ASAP Kabla YEYE Hajakinukisha!

    Ndugu Pascal Mayalla Hongera kwa kushauri mapema kabisa kuhusu hili jambo. Wengi wenye heshima, elimu, busara na hekima toka ndani ya nchi na hata nje nchi. Individuals, taasisi mpaka nchi na jumuiya mbalimbali zimeshauri sana kuachana na hii mambo. Najiuliza, pia nisaidie kutafakari haya; 1...
  8. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Mzee Msham anaonekana alikua na umri mkubwa kumzidi Mwalimu Nyerere. Pia kutakua na wazee wakati huo walikua wakubwa kuliko Mwl. Nyerere maana anaonekana alikua bado kijana kabisa. Ikiwa sasa Mwl. Nyerere anatambulika kama Baba wa Taifa, hao wazee wataitwaje? Au ndio Mababu zetu?? Hivi kutakua...
  9. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Jinga kabisa Baba Omary. Ndio washamba wanaoleta foleni na vigari vyao vibovu vya mkopo.
  10. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Aisee.....!! Siamini kama Baba Omary huyu huyu kakufanyia hivyo hapo ofisini kwake. Malipo hapahapa duniani Baba Omary utajuta nakwambia. Imeandikwa mpende jirani yako lakini Baba Omary unaleta maringo kisa laki saba?? Tutaona sasa.
  11. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko hata wakongwe kama Pascal. CCM ni ajuza ambae hawezi kujilemba tena

    Asante kwa majibu yako. Kimsingi nakubaliana na hoja zako hapo juu na sipongani nazo. Kuhusu kuwahi kwako kwenda Ikulu sikumaanisha uwe umefika kiuhalisia (mwenyewe sijawahi na sio mwanahabari) ila nilitaka uvae viatu vyake Ndugu Pascal Mayalla kwa muda ule. Bahati nzuri umeielezea tena hali...
  12. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko hata wakongwe kama Pascal. CCM ni ajuza ambae hawezi kujilemba tena

    Naomba nikuulize kidogo unaposema Pascal sio jasiri kwa kumuuliza swali lile jpm na angeongeza follow-up question: 1. Umewahi fika Ikulu na kuongea na Rais? 2. Umewahi kumuuliza swali Rais hadharani? 3. Umewahi kumuuliza follow-up question Rais na ukiwa umeona dalili zote kwamba hakufurahishwa...
  13. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

    Asante kwa kunielewa hivyo. Binafsi huwa nasoma na kutafakari vitu kwa uelewa wangu pasipo kufuata mkumbo. Nimekua mfuatiliaji na mpenzi wa kusoma kile unacho andika na ni kiri una andikaga vitu fikirishi ambavyo ni chakula kizuri cha kuufanya ubongo ufanyekazi yake ya kufikiri. Kidogo huwa...
Back
Top Bottom