Toka alipoitwa Dodoma kipindi kile, aliporudi alibadirika sana na hata kujitosa upande ule waziwazi. Sijui alikimbwa na nini ila bado ni mtu makini sana tatizo tu anapojivika ukada shida ndio huanzia hapo.
Asante kwa majibu yako.
Naomba tusaidiane kutafakari yafuatayo na unipe mtazamo wako katika nia ile ile ya kujifunza na kubaini mema ya Mungu au mabaya ya shatani;
1. Tukimsoma Pascal Mayalla katika hii mada yake kisha tukaichukulia kama hadithi tu, madhara yake ni nini??
2. Tukichukua elimu...
Salaam Jagina
Kwa maoni yangu, naona inakua ngumu kidogo kukubaliana na hoja za Pascal Mayalla na kimsingi mnapisha kwasabu;
1. Ili kumuelwa, usimsome kwa kujifungia ndani ya misingi ya dini yako ikiwemo Ukristu na Uislam ambazo ni dini kubwa kwa huku kwetu.
2. Biblia na Quran usizichukulie...
Salaam Mkuu Pascal Mayalla
1. Kuna muendelezo wowote kama ulivyo ahidi hapo juu kwy post yako ya kwanza ya uzi huu??
2. Kuna uzi au sehemu yeyote ambayo umeelezea hizo nguzo zote 7 in details??
Ndugu Pascal Mayalla
Kwa unasaba wako na ccm mpaka ukaingia kwy kugombea uongozi ingawa ni haki yako kabisa na hatuwezi kukupangia.
(napata shida kidogo kuelewa kutokana na uwezo wako mkubwa wa kutafakari mambo na upendo wako kwa jamii)
Nikiri tu umekua ukitafuta kila aina ya sabuni na...
Asante sana kwa reply yako.
Imenifariji kabla hata ya majibu yenyewe.
Inshort, usiache kujibu muda ukikuruhusu ila nikiwa nazurura zurura kwy hii topic yako ya Psychic Power, nimegundua kuna stages na nilipoingia kwy stage ya Manifestation naona kama naenda kutana na baadhi ya majibu. Niko kwy...
Salaam Pasco!
Nina maswali machache.
1. Kuzifungua hizo nguvu.
Hapa unaomba au ku concentrate ukinuia kuzifungua hizo nguvu tu kwanza au unakua unaombea hitaji lako then zinafunguka automatically along the sala process na kuanza kufanya kazi??
Kama hutajali naomba ushuhuda wako wa namna gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.