Recent content by SaidAlly

  1. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Ngondo hiyo...... Nami nasubiri kwa hamu kuelimishwa hapo.
  2. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Kwa Kauli Kama Hizi, Kiukweli Kabisa,Huyu Mtu, Atamsaidia sana Rais Samia,Taifa na Watanzania. Mnaonaje kama 2030 Twende Naye Kwa Utaratibu Ule Ule ?

    Toka alipoitwa Dodoma kipindi kile, aliporudi alibadirika sana na hata kujitosa upande ule waziwazi. Sijui alikimbwa na nini ila bado ni mtu makini sana tatizo tu anapojivika ukada shida ndio huanzia hapo.
  3. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Asante kwa kushare maoni na mtazamo wako. Nimekuelewa na nina uheshimu sana. Asante!
  4. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Asante kwa majibu yako. Naomba tusaidiane kutafakari yafuatayo na unipe mtazamo wako katika nia ile ile ya kujifunza na kubaini mema ya Mungu au mabaya ya shatani; 1. Tukimsoma Pascal Mayalla katika hii mada yake kisha tukaichukulia kama hadithi tu, madhara yake ni nini?? 2. Tukichukua elimu...
  5. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Salaam Jagina Kwa maoni yangu, naona inakua ngumu kidogo kukubaliana na hoja za Pascal Mayalla na kimsingi mnapisha kwasabu; 1. Ili kumuelwa, usimsome kwa kujifungia ndani ya misingi ya dini yako ikiwemo Ukristu na Uislam ambazo ni dini kubwa kwa huku kwetu. 2. Biblia na Quran usizichukulie...
  6. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Nguzo 7 za Mafanikio Kupitia Manifestation, Nguzo Kwanza ni Kuijua Asili ya Manifestation, Kuwa na Ndoto, Kutia Nia, Kuamini, Kuthubutu, na Kutenda

    Salaam Mkuu Pascal Mayalla 1. Kuna muendelezo wowote kama ulivyo ahidi hapo juu kwy post yako ya kwanza ya uzi huu?? 2. Kuna uzi au sehemu yeyote ambayo umeelezea hizo nguzo zote 7 in details??
  7. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Kwa yaliyojitokeza kesi ya Lissu dhidi ya Bwana Jela, kesi ya Lissu ya uhaini yapaswa kuwa "mistrial au annulment of trial", yaani najisi ya kutupwa!

    Ndugu Pascal Mayalla Kwa unasaba wako na ccm mpaka ukaingia kwy kugombea uongozi ingawa ni haki yako kabisa na hatuwezi kukupangia. (napata shida kidogo kuelewa kutokana na uwezo wako mkubwa wa kutafakari mambo na upendo wako kwa jamii) Nikiri tu umekua ukitafuta kila aina ya sabuni na...
  8. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Nguzo 7 za Mafanikio Kupitia Manifestation, Nguzo Kwanza ni Kuijua Asili ya Manifestation, Kuwa na Ndoto, Kutia Nia, Kuamini, Kuthubutu, na Kutenda

    Daaah! Mkuu Pascal Mayalla . Asante sana kwa lile somo la Open Minded na Closed Minded. It works here!
  9. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Asante sana. Hii mpya hii. Naiweka kwy friji (bookmark) Nikitoka kule kwy Psychic Power, ntairudia.
  10. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Siri ya Mafanikio Kupitia Manifestation -1: Manifestation ni Nini?

    Asante sana! Nimepita humo sio muda mrefu. Niko mitaa ya nguzo 7 now 😂😂! Asante!
  11. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Asante sana kwa reply yako. Imenifariji kabla hata ya majibu yenyewe. Inshort, usiache kujibu muda ukikuruhusu ila nikiwa nazurura zurura kwy hii topic yako ya Psychic Power, nimegundua kuna stages na nilipoingia kwy stage ya Manifestation naona kama naenda kutana na baadhi ya majibu. Niko kwy...
  12. SaidAlly

    JamiiForums Tanzania "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!

    Salaam Pasco! Nina maswali machache. 1. Kuzifungua hizo nguvu. Hapa unaomba au ku concentrate ukinuia kuzifungua hizo nguvu tu kwanza au unakua unaombea hitaji lako then zinafunguka automatically along the sala process na kuanza kufanya kazi?? Kama hutajali naomba ushuhuda wako wa namna gani...
Back
Top Bottom