Vyakula ni tamaduni, kila tamaduni Ina vyakula wanakula na wengine hawali.
Shida ni pale utamaduni unaingizwa kwenye dini.
Ipi ni dhambi kubwa kati ya kula kitimoto au kuzini, kuiba na kutamani wake za watu?
Hata kwenye kudai haki Mara nyingi kuna Kuwa na wachache wenye ujasiri. Waoga hutulia nyuma wakisubiri matokeo.
Wengine Wanakuwa Chawa wa wale wanao onea wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.