Recent content by Saharavoice

  1. Saharavoice

    Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Tumeshajua kundi laini ni lipi sasa
  2. Saharavoice

    Msimu wa 2025/2026 Azam au Simba mmoja atakuwa Bingwa

    Mchawi ndugu yako wa damu
  3. Saharavoice

    Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Vyakula ni tamaduni, kila tamaduni Ina vyakula wanakula na wengine hawali. Shida ni pale utamaduni unaingizwa kwenye dini. Ipi ni dhambi kubwa kati ya kula kitimoto au kuzini, kuiba na kutamani wake za watu?
  4. Saharavoice

    Yanga bingwa tena, hoja ya GSM kadhamini timu nyingi imezimwa na wamisri.

    Kwa hiyo, Simba kabaki na kichaka cha rank za CAF ambacho mwakani kinaweza kufyekwa.
  5. Saharavoice

    Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Marefa wa TZ wajifunze kwa huyu jamaa. Radha ya mpira unaiona. Siyo mafirimbi kibao
  6. Saharavoice

    Yanga waache mipasho ili kuhalalisha mapungufu yao ya kiuongozi

    Hata kwenye kudai haki Mara nyingi kuna Kuwa na wachache wenye ujasiri. Waoga hutulia nyuma wakisubiri matokeo. Wengine Wanakuwa Chawa wa wale wanao onea wengine
  7. Saharavoice

    Jerry Muro Huna kazi ya kufanya tofauti na kutegemea teuzi mbona unatutia aibu

    Kuna wakati ni bora kukaa kimya kuliko kuropoka badala ya kujibu hoja. Wasomi wetu mnatutia aibu sana. Siasa imeharibu sana ufahamu wa Wasomi wetu.
Back
Top Bottom