Recent content by Saharavoice

  1. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania CHAN 2024 | Quarter-Final | FULL TIME Tanzania 0-1 Morocco | Benjamin Mkapa Stadium | 22-08-2025 | Saa 20:00 Usiku

    Kwa hiyo Tanzania na Kenya wote kif kif
  2. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Atakuwa kakimbia
  3. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Tumeshajua kundi laini ni lipi sasa
  4. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Kuna wakenya humu
  5. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Msimu wa 2025/2026 Azam au Simba mmoja atakuwa Bingwa

    Mchawi ndugu yako wa damu
  6. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Vyakula ni tamaduni, kila tamaduni Ina vyakula wanakula na wengine hawali. Shida ni pale utamaduni unaingizwa kwenye dini. Ipi ni dhambi kubwa kati ya kula kitimoto au kuzini, kuiba na kutamani wake za watu?
  7. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Yanga bingwa tena, hoja ya GSM kadhamini timu nyingi imezimwa na wamisri.

    Kwa hiyo, Simba kabaki na kichaka cha rank za CAF ambacho mwakani kinaweza kufyekwa.
  8. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Wahurumieni jamani, wataanza kulia
  9. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

    Marefa wa TZ wajifunze kwa huyu jamaa. Radha ya mpira unaiona. Siyo mafirimbi kibao
  10. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Yanga waache mipasho ili kuhalalisha mapungufu yao ya kiuongozi

    Hata kwenye kudai haki Mara nyingi kuna Kuwa na wachache wenye ujasiri. Waoga hutulia nyuma wakisubiri matokeo. Wengine Wanakuwa Chawa wa wale wanao onea wengine
  11. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Yanga SC: Hatujalipwa pesa yoyote ya ubingwa wa Shirikisho kwa misimu mitatu mfululizo

    Sasa hapo kosa linakuwa la nani
  12. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro Huna kazi ya kufanya tofauti na kutegemea teuzi mbona unatutia aibu

    Kuna wakati ni bora kukaa kimya kuliko kuropoka badala ya kujibu hoja. Wasomi wetu mnatutia aibu sana. Siasa imeharibu sana ufahamu wa Wasomi wetu.
Back
Top Bottom