Recent content by Sagejo

  1. S

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

    daaaah ahsante sana ndugu yangu nitaenda, mimi nipo hapa iyunga
  2. S

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

    ahsante sana kaka, naenda leo hii hii maana bwawa liko tayari
  3. S

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

    Nipo mbeya ndugu yangu, labda kama unafahamu sehemu yoyote huku naomba nielekeze
  4. S

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki. Nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga.
  5. S

    Wanandoa wapigwa faini kwa kukataa wasagaji kutumia bustani yao

    Haya majanga yakija kwetu na sheria kama ya hiyo aliyoitumia huyo jaji, watu watapatia mwanya wa kupatia pesa kwa kuzua tu harusi hewa. MUNGU tuepushie mbali na ushetani huo!!!
Back
Top Bottom