Pro Shivji pamoja na usomi wake anashindwa kuwa na msimamo, amekuwa mlevi wa uongo na kuukana ukweli hata anaouamini yeye kisa kapewa chochote. Ni dhambi kubwa sana kukumbatia uovu ungali ukweli upo wazi!!! He is now incredible!!!!
Wanaoshiriki kwenye uchaguzi ni wanakalenga ambao wanapiga kura sasa wewe unayesema utatembea kwa miguu kwenda kurudisha Jimbo sijui umefikiria nini mpaka ukatamka hivo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.