Recent content by safines

  1. S

    Ajira tanzania police force, diploma na digrii

    mbona iyo form najaribu ku download inagoma? kuna m2 ameipata anitumie kwa email?
  2. S

    The power of God for those unemployed!

    umetutia moyo sana, inabid tuombe na tukipata kazi tushukuru,pia tusipige vifua mbele kwamba tuna kazi cauz sio kwa uweza wetu, finaly, hata tukipata kazi tuendelee kuomba.God is good always;
  3. S

    Maombi ya kazi

    Rafiki wana JF, hivi inakuaje mtu unatuma applications ila hujawai kuitwa, nikwamba hazivutii, not qualified, au hatujui kuandaa barua na CV, au hatuna refa or what? Help me please.
  4. S

    Nataka kujiunga na TANAPA

    sorry 4 the typing error above.wish u all da best
  5. S

    Nataka kujiunga na TANAPA

    wanyama pori sio mifugo, so ukisoma mifugo utatibu wanyama wafugwao, unaweza kusoma wildlife hata PHD na pai usipate nafasi, cha msingi panua ufahamu wako,usiwazie TANAPA waza worldwide the let it happen accidental cause ukuwa very narrow ni risk, u might regret
Back
Top Bottom